Wanachama Simba watwangana
>Pepo mbaya amezidi kuiandama Simba baada ya wanachama wanaodhaniwa kuwa wa klabu hiyo wanaotoka katika Matawi ya Mpira Pesa na Mpira Maendeleo kutwangana ngumi hadharani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH2PsJqpXJ7ZNPX8OZS-nkSoNO1IPoQdKK7ae1V5TWdq1RQiyAhdXpipJFIiIamz6iymq5tF6thFWnQsy6W9Ghj7/SIMBA.gif?width=650)
Simba, Mbeya City watwangana makonde
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Wanachama Simba chali
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Wanachama Simba wamtaka Kopunovic
NA BARAKA JAMALI, MTWARA
WANACHAMA wa klabu ya Simba Mtwara, wameuomba uongozi wa timu hiyo umrudishe kocha wao wa zamani, Goran Kopunovic, ili kuweza kuirejesha heshima ya timu hiyo ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, wanachama hao walisema kuwa uongozi wa timu hiyo umekuwa ukibadili makocha kila mwaka jambo ambalo limewasababishia kufanya vibaya katika mashindano mbalimbali wanayoshiriki, pia kumfukuza kocha mzuri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD7cc5xZ9I0HReljWhIZoytC*eBmmHhWQsnRhvROH**4Sri1Mutbcbcwix7ZRQyYgscIQs3yOvj9xkgiUyoout6w/IMG20150403WA0108.jpg?width=650)
WANACHAMA 7 WA SIMBA SC WAFARIKI KWA AJALI
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Wanachama Simba kukamilisha akidi kesho
WENYEVITI wa matawi ya klabu ya Simba nchini wanatarajia kukutana kesho Jumamosi kukamilisha akidi ya wanachama kwa ajili ya kufanya Mkutano Mkuu wa Dharura, kama katiba ya klabu yao inavyosema....
11 years ago
GPLWanachama Simba wampa masharti Rage
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Wanachama Simba SC waaswa kutorejea kosa
WANACHAMA wa klabu ya Simba wametakiwa kufanya uamuzi sahihi katika uchaguzi mkuu wa viongozi unaotarajia kufanyika jijini Dar es Salaam Mei 4. Simba inatarajiwa kufanya uchaguzi huo baada ya uongozi...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Hiki ni kipindi muhimu kwa Wanachama wa Simba SC
UCHAGUZI Mkuu wa Klabu ya Simba, umepangwa kufanyika Juni 29, kupata safu mpya ya uongozi itakayoshika hatamu ya miaka minne ijayo. Kwa upande mwingine uchaguzi huu uliojaa kila aina ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qp7d6C24hq4/Vfrz7IjsmNI/AAAAAAAH5oY/jsHDvCblLtA/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
SIMBA SC yashukuru wanachama na wapenzi kwa ushirikiano wao
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qp7d6C24hq4/Vfrz7IjsmNI/AAAAAAAH5oY/jsHDvCblLtA/s640/download%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UbfVxLIFBFQ/Vfrz8JcJejI/AAAAAAAH5ok/vWPCorgT6cI/s640/images%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cK-vpyRfj0g/Vfrz8qvHn9I/AAAAAAAH5os/30bp-7upHnw/s640/images%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jkD6bbh96Hk/Vfrz9DAdVTI/AAAAAAAH5ow/mjn_PH-yZIk/s640/images%2B%25283%2529.jpg)
Kwa niaba ya Rais wa klabu yenu pendwa Simba SC Mhe. Evans Aveva na uongozi mzima wa klabu napenda kuwashukuru wanachama na wapenzi wetu wote waliosafiri kutoka sehemu mbalimbali za nchi.kwenda mkoani Tanga kwa ajili ya...