WANACHAMA 7 WA SIMBA SC WAFARIKI KWA AJALI
![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD7cc5xZ9I0HReljWhIZoytC*eBmmHhWQsnRhvROH**4Sri1Mutbcbcwix7ZRQyYgscIQs3yOvj9xkgiUyoout6w/IMG20150403WA0108.jpg?width=650)
Majeruhi wa ajali hiyo wakiokolewa. Gari lilivyopata ajali. Wanachama Saba (7) wa Klabu ya Simba ya Dar es salaam kutoka tawi la Mpira na Maendeleo (maarufu kama Simba UKAWA) ambalo limewahi kutangazwa kufutwa wamefariki dunia katika ajali ya basi jana Aprili 3, mkoani Morogoro. Akizungumza mmoja kati ya mashabiki hao Frank Ngowi amesema ajali hiyo iliyotokea eneo la Mkundi nje kidogo ya manispaa ya Morogoro imetokana na gari...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Puisseguin-1.jpg)
WATU 40 WAFARIKI KWA AJALI UFARANSA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WATU 10 WAFARIKI KWA AJALI HANDENI
10 years ago
Vijimambo10 Mar
WATU 8 WAFARIKI KWA AJALI YA NDEGE ARGENTINA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/10/150310045008_argentina_helicopter_crash_624x351_ap.jpg)
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, ameelezea masikitiko yake baada ya vifo vya watu wanane wengi wao raia wa Ufaransa.
Wanne hao wanajumuisha pia wachezaji watatu wasifika nchini humo, walioaga dunia baada ya ndege mbili za Helikopta kugongana angani nchini Argentina.
Wakuu wametaja nyota hao kama bingwa wa nishani ya dhahabu katika uogeleaji kwenye mashindano ya Olimpiki,...
10 years ago
Eatv05 Sep
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KWA AJALI MUSOMA
Takribani watu zaidi ya 36 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba Musoma, mkoani Mara
Ajali hiyo imelihusisha basi la MWANZA COACH T736 AWJ lililogongana na gari lingine la J.4 Express T677 CYC.
Miili ya marehemu na majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya mkoa iliyopo Musoma mjini.
R.I.P All na poleni sana wote mliofikwa na msiba huo
11 years ago
CloudsFM09 Jun
WATU SITA WAFARIKI KWA AJALI YA BASI NANYALA MBEYA
Watu Sita wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni Ndejela Express lenye namba za usajili T 257 CMP aina ya TATA likiendeshwa na Dereva wa kike Vailet Mbinda(31) mkazi wa Sokomatola kugongwa kwa nyuma na roli la mizigo kisha kupinduka Kijiji cha Nanyala Kata ya Nanyala wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa tisa alasiri barabara ya Tunduma/Mbeya ambapo roli lenye namba T 369 AWM aina ya SCANIA likendeshwa na Dereva asiyefahamika likiwa katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GxEmomufk0E/Xpa1__UdKbI/AAAAAAAEGuc/NI5mxhcw8TEKXBekpL3bOAFy1rfSCtgCgCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bajali.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: WATU 18 WAFARIKI DUNIA NA WENGINE 15 WAJERUHIWA KWA AJALI WILAYANI MKURANGA.
Watu 18 wamefariki na wengine 15 kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika kijiji cha Kilimahewa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Kamanda Lyanga amesema kuwa ajali hiyo imetokea leo Jumatano Aprili 15, 2020 na kwamba imehusisha lori na gari la abiria aina ya Toyota Coaster.“Ni Kweli tuko kwenye eneo la tukio, ajali imetokea na imesababisha vifo vya watu 18 na majeruhi 15,” amebainisha...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Hiki ni kipindi muhimu kwa Wanachama wa Simba SC
UCHAGUZI Mkuu wa Klabu ya Simba, umepangwa kufanyika Juni 29, kupata safu mpya ya uongozi itakayoshika hatamu ya miaka minne ijayo. Kwa upande mwingine uchaguzi huu uliojaa kila aina ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qp7d6C24hq4/Vfrz7IjsmNI/AAAAAAAH5oY/jsHDvCblLtA/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
SIMBA SC yashukuru wanachama na wapenzi kwa ushirikiano wao
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qp7d6C24hq4/Vfrz7IjsmNI/AAAAAAAH5oY/jsHDvCblLtA/s640/download%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UbfVxLIFBFQ/Vfrz8JcJejI/AAAAAAAH5ok/vWPCorgT6cI/s640/images%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cK-vpyRfj0g/Vfrz8qvHn9I/AAAAAAAH5os/30bp-7upHnw/s640/images%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jkD6bbh96Hk/Vfrz9DAdVTI/AAAAAAAH5ow/mjn_PH-yZIk/s640/images%2B%25283%2529.jpg)
Kwa niaba ya Rais wa klabu yenu pendwa Simba SC Mhe. Evans Aveva na uongozi mzima wa klabu napenda kuwashukuru wanachama na wapenzi wetu wote waliosafiri kutoka sehemu mbalimbali za nchi.kwenda mkoani Tanga kwa ajili ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s72-c/si1.jpg)
benki ya posta YAZINDUA KADI ZA AKAUNTI KWA WANACHAMA NA MASHABIKI wa SIMBA NA YANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s1600/si1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ud_kIEDbWPw/U4hu0fRzQLI/AAAAAAAFme4/MUL5cqpBRZo/s1600/si2.jpg)