Wanachama Simba kukamilisha akidi kesho
WENYEVITI wa matawi ya klabu ya Simba nchini wanatarajia kukutana kesho Jumamosi kukamilisha akidi ya wanachama kwa ajili ya kufanya Mkutano Mkuu wa Dharura, kama katiba ya klabu yao inavyosema....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wanachama Simba watwangana
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Wanachama Simba chali
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM MBONI MHITA KUKUTANA NA WANACHAMA WA CCM KESHO JUMAMOSI DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
Katibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi La Washington DC Virginia na Maryland Bi Salima Moshi akiwa na Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mjumbe wa NEC CCM Taifa Chairperson for young Leader in Africa Mh Mboni Mhita siku ya Jumapili Novemba 9, 2014 walipokutana jijini Washington, DC kwa mazungumuzo, Mh Mboni Mhita atakutana na Wanachama Wa Chama Cha Mapinduzi siku ya JumamosiNov 15 saa 11jioni address 1801 saint george way Bowie 20721 tunaomba wote kuhudhuria
![](http://www.dailynews.co.tz/images/MAKONDAUVCCM.jpg)
Mh Paul Makonda Katibu Hamasa na...
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Wanachama Simba wamtaka Kopunovic
NA BARAKA JAMALI, MTWARA
WANACHAMA wa klabu ya Simba Mtwara, wameuomba uongozi wa timu hiyo umrudishe kocha wao wa zamani, Goran Kopunovic, ili kuweza kuirejesha heshima ya timu hiyo ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, wanachama hao walisema kuwa uongozi wa timu hiyo umekuwa ukibadili makocha kila mwaka jambo ambalo limewasababishia kufanya vibaya katika mashindano mbalimbali wanayoshiriki, pia kumfukuza kocha mzuri...
11 years ago
GPLWanachama Simba wampa masharti Rage
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Wanachama Simba SC waaswa kutorejea kosa
WANACHAMA wa klabu ya Simba wametakiwa kufanya uamuzi sahihi katika uchaguzi mkuu wa viongozi unaotarajia kufanyika jijini Dar es Salaam Mei 4. Simba inatarajiwa kufanya uchaguzi huo baada ya uongozi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD7cc5xZ9I0HReljWhIZoytC*eBmmHhWQsnRhvROH**4Sri1Mutbcbcwix7ZRQyYgscIQs3yOvj9xkgiUyoout6w/IMG20150403WA0108.jpg?width=650)
WANACHAMA 7 WA SIMBA SC WAFARIKI KWA AJALI