Polisi Kigoma yamtia mbaroni James Charles  kwa kujifanya JWTZ
Polisi mkoani wa Kigoma wamefanikiwa kumkamata mtu mmoja mkazi kwa kijiji cha Mwamila wilaya ya Uvinza James Charles kwa tuhuma za kujifanya kuwa ni askari wa jeshi la wananchi wa Tanzaniua JWT, akitumia fursa hiyo kujipatia fedha kinyume cha sheria
James Charles aliyekamatwa kufuatia taarifa zilizotolewa na raia wema kwa jeshi hilo anatuhumiwa kufanya kazi za afisa uhamiaji jambo ambalo pia ni kosa kisheria .
Akizungumza na waandishi wa habari ofini kwake kamanda wa polisi mkoa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV18 Dec
Polisi wilayani Bunda yamtia mbaroni mwanamke mmoja kwa vitendo vya ukatili
Polisi wilayani Bunda mkoani Mara inamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma ya kumchoma moto mtoto wa kaka yake sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri kwa madai ya kuiba mboga chunguni.
Mwanamke anayeshiliwa na Polisi ametambuliwa kwa jina la Jenipher Mtaki mwenye miaka 22 mkazi wa Migungani wilayani Bunda.
Tukio hilo ambalo limetokea desemba 15 mwaka huu, majira ya saa za usiku katika eneo la Migungani mjini Bunda, liligunduliwa na wasamalia wema waliotoa taarifa kwa Rebeca Kibore...
10 years ago
Habarileo03 Sep
Mbaroni kwa kujifanya ofisa usalama
MKAZI wa jijini Dar es Salaam, Gunner Meena (40), anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kujifanya mtumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa.
10 years ago
Uhuru Newspaper02 Sep
Mbaroni kwa kujifanya Ofisa Usalama wa Taifa
NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Kinyerezi, Dar es Salaam, Saimon Meena, ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kujifanya Ofisa Usalama wa Taifa.
Hatua hiyo ya Meena (40), ililenga kumwezesha kufanya utapeli ili kujipatia sh. milioni 25 kutoka kwa mfanyabiashara mmoja mwenye asili ya Somalia.
Meena, maarufu kwa jina la Gunner, anadaiwa kuwatisha baadhi ya wafanyabiashara jijini Dar es Saalam kuwa wanahusika na matukio ya kigaidi hivyo kuhatarisha usalama.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamishna wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IX_hovejP5E/U8-jj7qPhWI/AAAAAAAAGPQ/w3GJXLIwzWA/s72-c/VOT4.jpg)
ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUJIFANYA AFISA USALAMA WA TAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IX_hovejP5E/U8-jj7qPhWI/AAAAAAAAGPQ/w3GJXLIwzWA/s1600/VOT4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s72-c/unnamed.jpg)
Utapeli wachukua sura mpya Iringa, mtandao wa waganga wa kienyeji matapeli wawatapeli wenzao 60 kwa kujifanya maofisa wa polisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s1600/unnamed.jpg)
UTAPELI sasa wachukua sura mpya mkoani Iringa badaa ya baadhi ya waganga wa tiba asilia (Sangoma) kugeuziana kibao wenyewe kwa wenyewe kwa kuanza kufanyiana utapeli wa kutisha ikiwa ni pamoja na kujifanya maofisa wa polisi na kuwatapeli fedha wenzao zaidi ya 60.
Imedaiwa kuwa waganga hao matapeli wana mtandao wao na wamekuwa wakiwatumia askari wasio na maadili ya jeshi la polisi kwa kwenda kuwatisha waganga wachanga kwa madai kuwa ...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Maofisa wa JWTZ, Polisi wafa kwa ajali
5 years ago
BuzzFeed30 Mar
James Charles Tweeted That He Had A "Fat Ass" And Angered A Drag Queen, A Football Legend, And Others
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YKSaFWhs-tg/XlULsUkAdrI/AAAAAAALfRE/mD6Kno4ay-MyqClZevaVx0iD6TdLkDh4gCLcBGAsYHQ/s72-c/b4b28911-be6c-41bc-aeb0-38e0cc1f3f29.jpg)
WATU WANNE MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MABILIONI YA FEDHA YA BENKI YA NBC, POLISI TISA NAO MBARONI
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wanne waliokuwa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya G4S Security kwa tuhuma za wizi wa Sh.1.280,000,000, Dola za Marekani 402,000 na Euro 27,700 huku pia likiwashikilia askari wa polisi tisa kwa tuhuma za kuchukua sehemu ya fedha hizo kutoka kwa mmoja ya watuhumiwa.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam , Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja...
11 years ago
Habarileo30 Apr
Sketi fupi yamtia matatani polisi
OFISA wa Polisi mwanamke nchini Kenya, Linda Okello amepewa onyo kali kwa kuvaa sketi, iliyokuwa imembana, kiasi cha kuonesha umbo lake.