Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utapeli wachukua sura mpya Iringa, mtandao wa waganga wa kienyeji matapeli wawatapeli wenzao 60 kwa kujifanya maofisa wa polisi

Na  Francis Godwin blog  Iringa .
UTAPELI   sasa  wachukua sura mpya mkoani Iringa badaa ya baadhi ya  waganga wa  tiba asilia (Sangoma) kugeuziana  kibao  wenyewe kwa wenyewe kwa  kuanza  kufanyiana  utapeli wa kutisha  ikiwa ni pamoja na kujifanya maofisa wa  polisi na  kuwatapeli fedha  wenzao  zaidi ya 60.
Imedaiwa  kuwa  waganga  hao matapeli  wana mtandao wao na wamekuwa  wakiwatumia askari  wasio na maadili ya  jeshi la  polisi kwa  kwenda  kuwatisha  waganga  wachanga kwa madai kuwa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya lawanasa watu 11 wanaendesha utapeli kwa njia ya Mtandao

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa 11 kwa kosa la wizi kwa njia ya mtandao. Watuhumiwa hao walikuwa wakitumia majina ya watu katika akaunti zao kwa njia ya kujipatia fedha.

Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya   Ulrich Matei amesema kuwa watuhumiwa walikuwa wanajihusisha na  wizi kwa kutumia majina ya viongozi na wasanii kwa kusambaza ujumbe wa kuomba fedha kwa watu wengine wenye mahusiano ya viongozi na wasanii.

Wanaoshikiliwa na Jeshi hilo...

 

5 years ago

Michuzi

Waganga wa kienyeji Tunisia wavuna kwa kuuza 'dawa ya Corona'

Katika hali ambayo hakuna dawa mjarabu ya kutibu ugonjwa wa Corona iliyotangazwa rasmi au kuidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO), lakini waganga wa kienyeji nchini Tunisia wameendelea kupata faida kubwa kutokana na mauzo ya mitishamba na dawa za kiasili wanazodai kuwa zinatibu Corona.

Katika mji mkuu Tunis, wananchi wameendelea kumiminika katika soka la jadi la Souk el-Blat lenye waganga wa kienyeji kutafuta kinga au tiba ya Corona.

Mbali na kwenda kwa waganga wa kienyeji, baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro

Na Magreth Kinabo
WANANCHI   wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa  sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno  ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana  na  Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha   Rose Migiro wakati  wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana  wanaoishi katika mazingira hatarishi  ya WAMA  Nakayama, iliyopo  wilayani Rufiji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamisemi yalaumiwa mabango waganga wa kienyeji

CHAMA cha Matabibu wa Tiba Asili nchini (ATME), kimesema kuendelea kuwepo kwa mabango ya waganga wa kienyeji, wanaopaswa kulaumiwa ni Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)...

 

10 years ago

Mwananchi

Waganga wa kienyeji 32 watiwa mbaroni Geita

>Jeshi la Polisi mkoani Geita linawashikilia waganga wa kienyeji 32 kwa tuhuma za kupiga ramli ‘chonganishi’  zinazosababisha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, akiwamo mtoto Yohana Bahati (1) mkazi wa Kijiji cha Ilelema, Wilaya ya Chato mkoani hapa na mauaji ya vikongwe.

 

10 years ago

GPL

MSAKO: WAGANGA WA KIENYEJI 55 WAKAMATWA MKOANI MWANZA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola (kushoto) akionyesha baadhi ya nyara walizokutwa nazo waganga hao.…

 

10 years ago

Habarileo

Igunga watakiwa kufichua waganga wa jadi matapeli

WANANCHI wilayani Igunga mkoani Tabora wametakiwa kuwafichua waganga wa jadi matapeli hasa wale wanaoshiriki katika mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi albino ili waweze kufikishwa katika vyombo vya sheria.

 

11 years ago

Michuzi

ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUJIFANYA AFISA USALAMA WA TAIFA

Kijana aliyetambulika kwa jina la Musa Mbeko(24) anayedaiwa kuwa ni mwandishi wa habari mkoani Tabora akiwa mikononi mwa Jeshi la Polisi mkoani humo baada ya kujifanya kuwa ni afisa kutoka idara ya usalama wa taifa (TISS).kijana huyo inadaiwa aliwahi kufanya kazi kituo cha radio cha Voice of Tabora (VOT) kinachomilikiwa na mbunge wa Jimbo la Tabora mjini,Ismail Rage,hata hivyo Uongozi wa VOT umekana kijana huyo kuwa ni mwandishi wao na kwamba ulikwisha mfukuza kutokana na makosa...

 

9 years ago

StarTV

Polisi Kigoma yamtia mbaroni James Charles  kwa kujifanya JWTZ

Polisi mkoani wa Kigoma wamefanikiwa kumkamata mtu mmoja mkazi kwa  kijiji cha Mwamila wilaya ya Uvinza  James  Charles kwa tuhuma za   kujifanya kuwa ni askari wa jeshi la wananchi  wa Tanzaniua JWT, akitumia fursa hiyo kujipatia fedha kinyume cha sheria

James Charles  aliyekamatwa kufuatia taarifa zilizotolewa na raia wema kwa jeshi hilo  anatuhumiwa  kufanya kazi za afisa uhamiaji  jambo ambalo pia ni kosa kisheria .

Akizungumza na waandishi  wa habari ofini kwake  kamanda wa polisi mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani