Tamisemi yalaumiwa mabango waganga wa kienyeji
CHAMA cha Matabibu wa Tiba Asili nchini (ATME), kimesema kuendelea kuwepo kwa mabango ya waganga wa kienyeji, wanaopaswa kulaumiwa ni Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Waganga wa kienyeji 32 watiwa mbaroni Geita
>Jeshi la Polisi mkoani Geita linawashikilia waganga wa kienyeji 32 kwa tuhuma za kupiga ramli ‘chonganishi’ zinazosababisha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, akiwamo mtoto Yohana Bahati (1) mkazi wa Kijiji cha Ilelema, Wilaya ya Chato mkoani hapa na mauaji ya vikongwe.
10 years ago
GPLMSAKO: WAGANGA WA KIENYEJI 55 WAKAMATWA MKOANI MWANZA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola (kushoto) akionyesha baadhi ya nyara walizokutwa nazo waganga hao.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRMwckxg30/XnDFJvIT4XI/AAAAAAALkII/Y4hYrXfBoXMTOKjZe4wvLHKjIl1rsL4VACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv70a44aee1aa1m9pj_800C450.jpg)
Waganga wa kienyeji Tunisia wavuna kwa kuuza 'dawa ya Corona'
![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRMwckxg30/XnDFJvIT4XI/AAAAAAALkII/Y4hYrXfBoXMTOKjZe4wvLHKjIl1rsL4VACLcBGAsYHQ/s640/4bv70a44aee1aa1m9pj_800C450.jpg)
Katika mji mkuu Tunis, wananchi wameendelea kumiminika katika soka la jadi la Souk el-Blat lenye waganga wa kienyeji kutafuta kinga au tiba ya Corona.
Mbali na kwenda kwa waganga wa kienyeji, baadhi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHuhZLgizn30lvi8CArjT7jWAGdwyDMC4BsN*6sgCO1Aes*L5LPPYAOhsTJ9AnCjKZFboxIiDVliSpkeAtkksBFJ/ripoti.jpg?width=600)
RIPOTI MAALUM:WAGANGA WA KIENYEJI WANAVYOFANYA KAZI NA WACHEZAJI YANGA, SIMBA
Kuku wawili, mweusi kuzima nyota ya mpinzani, nyeupe kujing'arisha. Saleh Ally na Sweetbert Lukonge
SUALA la ushirikina katika soka limekuwa likizungumzwa kama hadithi za kufikirika, wako ambao wanasema mambo hayo hayatokei, lakini wako ambao wamekuwa wakithibitisha kuwa hali hiyo inatokea.…
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Djdbvxnlf_s/VTR379iUWkI/AAAAAAAAIVE/iiMgdt6GLio/s72-c/IMG_9657.jpg)
Simba ina waganga wengi wa kienyeji kuliko idadi ya wataalamu waliopo benchi la ufundi
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/IMG_94331.jpg)
Simba waligoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo walipocheza na Mbeya City jumamosi iliyopita uwanja wa Sokoine
MTANDAO huu kwa muda mrefu sasa umekuwa ukifanya tafiti na kufuatilia mwenendo wa klabu ya Simba katika mechi za ligi kuu soka Tanzania bara msimu huu.
Mwishoni mwa juma lililopita, Simba ilifungwa magoli 2-0 na Mbeya City fc katika uwanja wa Sokoine, Mbeya na kuifanya klabu hiyo kongwe nchini kuendelea kukaa nafasi ya tatu kwa pointi 35 walizokusanya baada ya kushuka...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yueqnJZnrcE/VDITfV5mkJI/AAAAAAAAA48/kYSn1CjFRqc/s72-c/scan0003.jpg)
BALAA, NABII JEREMIAH ATANGAZA KIAMA,AWATAKA WAGANGA WA KIENYEJI WAJISALIMISHA.. ATOA SIKU 14
![](http://3.bp.blogspot.com/-yueqnJZnrcE/VDITfV5mkJI/AAAAAAAAA48/kYSn1CjFRqc/s640/scan0003.jpg)
Na Mwandishi wa MaskanibongotzKatika hali isiyokuwa ya kawaida Nabii Jerry wa kanisa la Holly Ghost Fire lilipo Mbezi Juu kwa Temba Jijini Dar ametoa mpya baada ya kuwatangazia kiama waganga wote wanaotumika kwa ushirikina pamoja na wachawi kujisalimisha kanisani kwake mara moja kabla moto wake haujatua kwenye vichwa vyao.Akiongea na waandishi wa habari mbalimbali Kanisani kwake...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s72-c/unnamed.jpg)
Utapeli wachukua sura mpya Iringa, mtandao wa waganga wa kienyeji matapeli wawatapeli wenzao 60 kwa kujifanya maofisa wa polisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-eCmJZoPDnbo/U7-YNzFsPvI/AAAAAAAF03g/AgxDw6gD2LU/s1600/unnamed.jpg)
UTAPELI sasa wachukua sura mpya mkoani Iringa badaa ya baadhi ya waganga wa tiba asilia (Sangoma) kugeuziana kibao wenyewe kwa wenyewe kwa kuanza kufanyiana utapeli wa kutisha ikiwa ni pamoja na kujifanya maofisa wa polisi na kuwatapeli fedha wenzao zaidi ya 60.
Imedaiwa kuwa waganga hao matapeli wana mtandao wao na wamekuwa wakiwatumia askari wasio na maadili ya jeshi la polisi kwa kwenda kuwatisha waganga wachanga kwa madai kuwa ...
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Facebook yalaumiwa na watumiaji
Facebook imelaumiwa kwa kuwafanyia wateja wake utafiti wa kisaikolojia bila ya kuwajulisha.
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
UK yalaumiwa Operesheni dhidi ya IS
Uingereza imelaumiwa kutofanya jitihada za kutosha kupambana na Wanamgambo wa Islamic State
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania