Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Facebook yalaumiwa na watumiaji

Facebook imelaumiwa kwa kuwafanyia wateja wake utafiti wa kisaikolojia bila ya kuwajulisha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WATUMIAJI WA FACEBOOK WAKUMBANA NA TATIZO

Muonekano wa tatizo lililotokea Facebook muda wa asubuhi baada ya watumiaji kushindwa kuingia. Wamiliki wa mtandao wa kijamii wa Facebook ambao una watumiaji wengi zaidi duniani wamelazimika kutoa maelezo juu ya kuondoka hewani kwa mtandao huo kwa muda wa dakika 30 dunia nzima. Msemaji wa Facebook amenukuliwa akisema kuwa “Mapema leo asubuhi tulipata tatizo kubwa la watu kushindwa kuingia na kuandika chochote au kupost...

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]

 

10 years ago

BBCSwahili

UK yalaumiwa Operesheni dhidi ya IS

Uingereza imelaumiwa kutofanya jitihada za kutosha kupambana na Wanamgambo wa Islamic State

 

9 years ago

BBCSwahili

Shirikisho la Riadha Kenya yalaumiwa

Shirikisho la mchezo wa riadha nchini Kenya yalaumiwa kutochukua hatua dhidi ya wanariadha watundu

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yalaumiwa kutukanwa Warioba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimelaumiwa kwa kuwatumia vijana kumtukana aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, kwamba hatua hiyo ni kulidhalilisha taifa. Serikali kupitia Wizara...

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo yalaumiwa kutolinda Watoto

Serikali ya Congo imelaumiwa na Mashirika ya kijamii kutowalinda Watoto wanaofanya kazi kwenye Migodi

 

10 years ago

BBCSwahili

Dunia yalaumiwa kutodhibiti Ebola

Shirika la madaktari wasio na mipaka wameilaumu dunia kwa kuchelewa kuchukua hatua dhidi ya Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mipira mikubwa ya kondomu yalaumiwa Thai

Vijana huchagua mipira mikubwa ikilinganishwa na vipimo vyao huku wakiogopa kwamba watafanyiwa masikhara kwa kuwa wadogo''.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yalaumiwa kutosambaza rasimu ya Katiba

MASHIRIKA yasiyokuwa ya kiserikali yamelalamikia kitendo cha serikali kushindwa kusambaza kwa wananchi rasimu ya pili ya Katiba, jambo ambalo limesababisha Watanzania wengi kushindwa kujua kilichomo. Wakizungumza jana katika mdahalo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani