CCM yalaumiwa kutukanwa Warioba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimelaumiwa kwa kuwatumia vijana kumtukana aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, kwamba hatua hiyo ni kulidhalilisha taifa. Serikali kupitia Wizara...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Jaji Warioba hakustahili kutukanwa matusi haya
RAIS Jakaya Kikwete alimteua aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ili aiongoze tume hiyo katika kuwapatia Watanzania Katiba iliyo bora. Wakati baadhi ya watu wanaamini...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Warioba aiua CCM
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikijipanga kusimamia hoja yake ya kutaka mfumo wa serikali mbili ulioboreshwa, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amepigilia msumari kwamba mfumo...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Warioba mwiba CCM
HILA za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, huku wakitumia kitisho cha jeshi kuasi iwapo mfumo wa serikali tatu utaridhiwa...
11 years ago
TheCitizen24 Apr
Warioba warns CCM
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Warioba achana na CCM
SINA budi nianze kwa kumpa pole ya dhati aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba. Kazi aliyofanya pamoja na tume yake ni kubwa sana. Kwakuwa...
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
CCM wazidi kulia na Warioba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kuilaumu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuandika rasimu iliyojaa mawazo ya wajumbe wake waliotaka muundo wa serikali tatu. Lawama hizo zilitolewa jana na...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Mapalala: Warioba amewavuruga CCM
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Warioba atia hofu CCM
KITENDO cha wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Joseph Warioba, kujitokeza katika mdahahlo na kujibu upotoshwaji ulioyokuwa ukifanywa na baadhi ya viongozi waandamizi wa Serikali...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Warioba akata ngebe za CCM
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amezima rasmi sakata la makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kulazimisha Bunge Maalumu la Katiba kukataa pendekezo la Tume ya...