Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba achana na CCM

SINA budi nianze kwa kumpa pole ya dhati aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba. Kazi aliyofanya pamoja na tume yake ni kubwa sana. Kwakuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Warioba warns CCM

Justice (rtd) Joseph Warioba has warned the majority in the Constituent Assembly (CA) against bulldozing everybody else in the process of rewriting the Tanzanian Constitution.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba mwiba CCM

HILA za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, huku wakitumia kitisho cha jeshi kuasi iwapo mfumo wa serikali tatu utaridhiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba aiua CCM

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikijipanga kusimamia hoja yake ya kutaka mfumo wa serikali mbili ulioboreshwa, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amepigilia msumari kwamba mfumo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yalaumiwa kutukanwa Warioba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimelaumiwa kwa kuwatumia vijana kumtukana aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, kwamba hatua hiyo ni kulidhalilisha taifa. Serikali kupitia Wizara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba atia hofu CCM

KITENDO cha wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Joseph Warioba, kujitokeza katika mdahahlo na kujibu upotoshwaji ulioyokuwa ukifanywa na baadhi ya viongozi waandamizi wa Serikali...

 

11 years ago

Mwananchi

Mapalala: Warioba amewavuruga CCM

Mwanasiasa mwenye historia ya kipekee nchini, James Mapalala amesema ufafanuzi wa Rasimu ya Katiba uliotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, umekiacha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye wakati mgumu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba aanika uchuku wa CCM

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amewashika pabaya makada wenzake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao wamekuwa wakimtukana na kubeza kazi iliyofanywa na Tume aliyoongoza....

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wazidi kulia na Warioba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kuilaumu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuandika rasimu iliyojaa mawazo ya wajumbe wake waliotaka muundo wa serikali tatu. Lawama hizo zilitolewa jana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba azishukia Ukawa, CCM

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashauri wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na CCM kuacha kuzunguka mikoani kufanya mikutano inayoeleza misimamo yao kuhusu mchakato wa Katiba Mpya kwa kuwa haina tija kwa taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani