Waganga wa kienyeji Tunisia wavuna kwa kuuza 'dawa ya Corona'
![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRMwckxg30/XnDFJvIT4XI/AAAAAAALkII/Y4hYrXfBoXMTOKjZe4wvLHKjIl1rsL4VACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv70a44aee1aa1m9pj_800C450.jpg)
Katika hali ambayo hakuna dawa mjarabu ya kutibu ugonjwa wa Corona iliyotangazwa rasmi au kuidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO), lakini waganga wa kienyeji nchini Tunisia wameendelea kupata faida kubwa kutokana na mauzo ya mitishamba na dawa za kiasili wanazodai kuwa zinatibu Corona.
Katika mji mkuu Tunis, wananchi wameendelea kumiminika katika soka la jadi la Souk el-Blat lenye waganga wa kienyeji kutafuta kinga au tiba ya Corona.
Mbali na kwenda kwa waganga wa kienyeji, baadhi ya...
Michuzi