MABOSS WA AIRTEL TANZANIA WAENDELEZA MAPAMBANO DHIDI YA FISTULA
Wakuu wa makampuni tofauti pamoja na wakurugenzi wa vitengo mbali mbali vya kampuni ya Airtel Tanzania wameendelea kuonyesha kuguswa kwa kushiriki kutimiza shinikizo toka kwa Mkurugenzi mkuu wa Artel Tanzania alilolitoa wiki moja iliyopita kuhamasisha mapambano dhidi ya Fistula kwa akina mama kwa kuchangisha pesa zitakazotumika kusaidia shughuli mbalimbali wakati wa matibabu kwa wale waliopatwa na tatizo hilo Angalia video hizi kuona kila mmoja alivyofanya mara baada ya kuguswa na kujitoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziAirtel Tanzania yachangia sh. 700 milioni kwa wafanyakazi wa sekta ya afya dhidi ya mapambano ya COVID-19
(kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni saba (TZS 700,000,000) ukiwa ni mchango wa Airtel Tanzania kuunga mkono serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mapambano dhidi ya virusi vya covid-19 (corona). Mchango uliotolewa na Airtel utatumika kununua vifaa kinga vitakavyosambazwa nchi nzima ili vitumike na...
10 years ago
GPL28 Aug
MKURUGENZI MKUU WA AIRTEL TANZANIA SUNIL COLASO AKISHIRIKI FISTULA ICE BUCKET CHALLENGE
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jul
Uingereza kuisaidia Tanzania mapambano dhidi ya ujangili
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI ya Uingereza imeahidi kushirikiana na Tanzania kuhifadhi tani 120 za pembe za ndovu zinazotunzwa nchini.
Aidha, imeahidi kusaidia harakati za Tanzania katika mapambano dhidi ya uwindaji na mapambano dhidi ya majangili.
Waziri wa Uingereza anayehusika na bara la Afrika, Mark Simmonds, alisema hatua hiyo inatokana na juhudi za nchi kukomesha uwindaji haramu.
Simmonds aliyekuwa akizungumza kwenye mkutano wa pamoja na waandishi wa habari uliohudhuriwa pia na Waziri wa...
11 years ago
Michuzi07 Feb
Mapambano dhidi ya ukeketaji Tanzania , safari ni ndefu lakini kuna matumaini
![Wasichana kama hawa wasikeketwe!](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/9Rn3kl-gHUwqruXs4DuJrk3kJdshbztvCNchpS5JQfq1f9Dh4Fs4swqHcv6qcwhvJK4KbdPp3tcTIwI6dULVpqGS5H8j2GII6etaaOV_ZkTTJh1PZzN9P-IwwMv1b1GZdkVdgt9cMdO-U188_1MzHA2j7DufQMtWUz4KvhO0wnM=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/02/Wasichana-kama-hawa-wasikeketwe.jpg)
5 years ago
MichuziAbsa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nFUhlOE1n1c/XrLxqNI-8DI/AAAAAAALpUQ/H0f1mbCczIQEv2EaLesiUYrightVsk5RQCLcBGAsYHQ/s72-c/605ce68d-9c08-45a1-88ea-c5cafaf475fe.jpg)
Fashion Association of Tanzania(FAT) waungana na serikali mapambano dhidi ya maambukizi Covid-19
• Wabunifu waonyesha kwa vitendo mapigano dhidi ya maambukizi ya Covid-19
Fashion Association of Tanzania (FAT) chaendesha mchakato wa uchangiaji wa vitakasa ikiwa sehemu ya mchango wao dhidi ya maambukizi ya homa ya mapafu inayosababishwa na kirusi cha Corona (Covid-19).
Jumla ya wabunifu, wanamitindo na wadau wa sekta hiyo 66, wameweza kuchangia katoni 80 (sawa na lita 1,600) za vitakasa, katoni 60 kati ya hizo zikiwa ni “lit lavender disinfectant” na 20 zikiwa ni “zap bleach regular”...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgXVCqGfZ-YoOkeHFCX9y8n4eo7ZJm7Bqmb-bQsZ9IqommDH8LquvZD2djuEbpGGP4m4De8YjlPbD6xwxW*2vOi/copspregnantwoman.jpg?width=650)
POLISI WA MAREKANI WAENDELEZA UKATILI DHIDI YA RAIA WEUSI
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0Ez6zNJDtHI/VnKb68GKnjI/AAAAAAAINFA/KvQ5agn1xss/s72-c/003.CCBRT.jpg)
MAPAMBANO YA FISTULA YANAENDELEA KWA USHIRIKIANO WA HOSPITALI YA CCBRT NA VODACOM FOUNDATION
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Ez6zNJDtHI/VnKb68GKnjI/AAAAAAAINFA/KvQ5agn1xss/s640/003.CCBRT.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FZmre4Bbgac/VnKb7gCCuCI/AAAAAAAINFE/B0-ocZbZUQU/s640/001.CCBRT.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FzA-QSh-Bf4/VnKb5vr99lI/AAAAAAAINE4/P0maSBMt3Hg/s640/002.CCBRT.jpg)