MKURUGENZI MKUU WA AIRTEL TANZANIA SUNIL COLASO AKISHIRIKI FISTULA ICE BUCKET CHALLENGE
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania Sunil Colaso akishiriki #BongoIce Challenge  kwa lengo la kuchangisha fedha kugharamia matibabu ya ugonjwa wa Fistula.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi29 Aug
10 years ago
Michuzi27 Aug
Vodacom Tanzania yaja na Fistula Ice Bucket Challenge
Kampuni ya Vodacom Tanzania imekuja na Fistula Ice Bucket Challenge ‘#BongoIce’ yenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya matibabu ya akina mama wajawazito wenye ugonjwa wa Fistula. Hii ni kufuatia kampeni inayoendelea mitandaoni ikijulikana kama #ALSIceBucketChallenge ambapo Vodacom Tanzania kwa kutambua kuwa kuna wanawake wengi Zaidi ya 30,000 wanaogua ugonjwa huu hapa nchini imeanzisha kampeni inayoitwa #BongoIce.
Mkurugenzi wa Vodacom, Rene Meza amekuwa wa kwanza kushiriki kampeni...
Mkurugenzi wa Vodacom, Rene Meza amekuwa wa kwanza kushiriki kampeni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_6TMudkszM0/VAbCB0XMPeI/AAAAAAACp3s/qdsdki-Mfg8/s72-c/EXIM%2B1.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Exim ashiriki Fistula Ice Bucket Challenge
![](http://3.bp.blogspot.com/-_6TMudkszM0/VAbCB0XMPeI/AAAAAAACp3s/qdsdki-Mfg8/s1600/EXIM%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-joQCJNErP64/VAbCCU8IEOI/AAAAAAACp3w/5VDZ3cOhF4Y/s1600/EXIM%2B4.jpg)
10 years ago
Bongo527 Aug
Ice Bucket Challenge: Huyu ni msanii wa Kenya aliyetupa karata yake (Video)
Kampeni ya Ice Bucket Challenge, ambayo wakati mwingine huitwa ALS Ice Bucket Challenge, huhusisha kujimwagia maji yenye barafu ili kukuza uelewa kuhusiana na ugonjwa uitwao ‘amyotrophic lateral sclerosis’ (ALS) na kusisitiza umuhimu wa kuchangia fedha kwaajili ya utafiti. Sheikha Matukio hayo yamekuwa maarufu sana kwenye mitandao ya kijamii siku za hivi karibuni ambapo mastaa kibao […]
10 years ago
TheCitizen05 Sep
A CHAT FROM LONDON: Ice bucket and ‘Bongo Ice’ plus a few other things
>Tings. Not things. Spoken language is different from the written one; we were always told in school. Don’t speak slang in class; do not swear; never start a sentence with “andâ€. Add comma to “howeverâ€. And so on. Africa is divided into so many major and mini languages. That is why we freak out and become very emotional whenever we are in language conferences.
10 years ago
TheCitizen29 Aug
The ice bucket a new celeb sensation
>It is one of the latest celebrity sensations which has involved musicians, sportsmen, actors and even presidents;Â so far it has been hilarious.
10 years ago
Michuzi03 Sep
MABOSS WA AIRTEL TANZANIA WAENDELEZA MAPAMBANO DHIDI YA FISTULA
Wakuu wa makampuni tofauti pamoja na wakurugenzi wa vitengo mbali mbali vya kampuni ya Airtel Tanzania wameendelea kuonyesha kuguswa kwa kushiriki kutimiza shinikizo toka kwa Mkurugenzi mkuu wa Artel Tanzania alilolitoa wiki moja iliyopita kuhamasisha mapambano dhidi ya Fistula kwa akina mama kwa kuchangisha pesa zitakazotumika kusaidia shughuli mbalimbali wakati wa matibabu kwa wale waliopatwa na tatizo hilo Angalia video hizi kuona kila mmoja alivyofanya mara baada ya kuguswa na kujitoa...
10 years ago
GPL26 Aug
VODACOM NAYO YAIBUKA NA BONGO ICE BUCKECT CHALLENGE!
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza akishiriki #BongoIce challenge kwa lengo la kuchangisha fedha kugharamia matibabu ya ugonjwa wa Fistula ambao umekuwa tishio kwa kinamama.Â
10 years ago
Michuzi25 Sep
KATIBU MKUU WA CCM AKISHIRIKI KILIMO CHA UPANDAJI MPUNGA WILAYANI KOROGWE LEO.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchanyata kwa Power tiller kwa ajili ya upandaji miche ya mpunga kwenye vijaruba vya kilimo cha zao hilo cha Umwagiliaji vilivyopo katika kijiji cha Mhenge,Kwamndolwa wilayani Korogwe mkoani Tanga leo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania