Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Exim ashiriki Fistula Ice Bucket Challenge
![](http://3.bp.blogspot.com/-_6TMudkszM0/VAbCB0XMPeI/AAAAAAACp3s/qdsdki-Mfg8/s72-c/EXIM%2B1.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Exim Tanzania, Bw. Yogesh Manek akishiriki zoezi la Ice Bucket Challenge kuunga mkono kampeni dhidi ya ugonjwa wa fistula nchini Tanzania, baada ya kuteuliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania Bw, Sunil Colaso. Tukio hilo lilifanyika katika ofisi za makao makuu ya benki hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Exim Tanzania, Bw. Yogesh Manek akizungumza na waandishi kabla kushiriki zoezi la Ice Bucket Challenge kuunga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi27 Aug
Vodacom Tanzania yaja na Fistula Ice Bucket Challenge
Mkurugenzi wa Vodacom, Rene Meza amekuwa wa kwanza kushiriki kampeni...
10 years ago
GPL28 Aug
MKURUGENZI MKUU WA AIRTEL TANZANIA SUNIL COLASO AKISHIRIKI FISTULA ICE BUCKET CHALLENGE
10 years ago
Bongo527 Aug
Ice Bucket Challenge: Huyu ni msanii wa Kenya aliyetupa karata yake (Video)
10 years ago
Michuzi29 Aug
10 years ago
TheCitizen05 Sep
A CHAT FROM LONDON: Ice bucket and ‘Bongo Ice’ plus a few other things
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA BODI YA MADINI TANZANIA ASHIRIKI HARAMBEE YA UJENZI WA CHUO KIKUU
10 years ago
TheCitizen29 Aug
The ice bucket a new celeb sensation
5 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s72-c/1028.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s1600/1028.jpg)
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009 (Sura ya 203 ya...