Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunayapimaje mafanikio katika sekta ya elimu?

KWA muda sasa Tanzania imeendelea kutajwa kuwa nchi yenye viwango duni vya elimu katika ukanda wa nchi za Afrika Mashariki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

WAMA yajivunia mafanikio katika sekta ya elimu

img_7026-2

Mke wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.

Taasisi ya WAMA Foundation imefanikiwa kupanua fursa za elimu kwa mtoto wa kike kwa mwaka 2014.

Hayo yamesemwa na Mke wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete wakati Akiongea na wenza wa mabalozi kutoka nchi mbalimbali katika ghafla fupi ya kuukaribisha mwaka mpya 2015 iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam,

Mama Salma alisema kuwa baadhi ya mafanikio yaliyofikiwa na Taasisi ya WAMA ni kukamilika...

 

9 years ago

Mwananchi

Mafanikio ya JK katika sekta ya miundombinu

Wakati kampeni za uchaguzi mkuu nchini zikiendelea kushika kasi kwa ajili ya maandalizi ya kumchagua rais wa Serikali ya awamu ya tano, wapo wanaoiponda na wengine kuisifia serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake hivi karibuni.

 

9 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Kujitolea wa Kimarekani kufanya kazi katika sekta ya elimu katika wilaya 31 nchini Tanzania

Dar es Salaam, TANZANIA.  Leo asubuhi, Balozi wa Tanzania nchini Tanzania Mark Childress amewaapisha wafanyakazi wa kujitolewa wa Kimarekani (Peace Corps Volunteers) wapatao 59 ili kuanza huduma yao ya miaka miwili nchini Tanzania. Hafla ya kuwaapisha wafanyakazi hao ilifanyika katika viwanja vya Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Ukaguzi wa Shule ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Edicome Cornel Shirima, Mkurugenzi Mkazi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Jipange mwaka 2015 uwe wa mafanikio katika elimu

Saa zinahesabika kuukaribisha mwaka mpya wa 2015. Ninaungana na vijana wenzangu katika kudumisha amani katika kipindi chote cha sikukuu ili tuweze kusherehekea kwa amani

 

11 years ago

Mwananchi

Wiki ya tafakuri katika sekta ya elimu

>Ni tukio la kwanza la aina yake nchini litakaloshuhudia wadau muhimu wa elimu wakipongezwa kwa mafanikio yao katika kuiendeleza Sekta ya Elimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Makundi ya rushwa katika sekta ya elimu

Tanzania iko katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa wenye dhamira ya kubadili mifumo kadhaa ya kisiasa, kiuchumi na kijamii hasa elimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka 2013 na vituko katika sekta ya elimu

Mwaka 2013 ulianza kwa kushtua katika sekta ya elimu baada ya matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 kutolewa Februari mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Laiti fedha za Bunge la Katiba zigetumika katika sekta ya elimu...

>Kuanzia Februari 18 hadi Aprili 25 wajumbe wapatao 629 wa Bunge Maalumu la Katiba walikutana mjini Dodoma kwa lengo la kupitia Rasimu ya Pili ya Katiba iliyoandaliwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yajidhatiti kukabiliana na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu nchini

PIX 1.

Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM.

SERIKALI imekuwa ikifanya jitihada za dhati katika kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wahitimu wa kidato cha Nne na Sita katika kipindi cha miaka miwili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani