ZUHURA YUNUS: Haikuwa ndoto yangu kuwa mtangazaji
Siyo jambo la ajabu kwa wasikilizaji wa redio au televisheni kuiga sauti za watangazaji kutokana na umahiri wanaouonyesha wawapo kazini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Zuhura Yunus akukaribisha Forodhani
11 years ago
Vijimambo
9 years ago
Mwananchi03 Jan
LUCKY SABAS : Kuwa mbunifu wa mitindo ilikuwa ndoto yangu
11 years ago
Mwananchi21 Aug
Elimu haikuwa kikwazo katika maisha yangu
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Vanessa: Haikuwa kazi nyepesi kuwa kama Siwema
MSANII anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya filamu nchini, Mary Joseph ‘Vanessa’, amesema haikuwa kazi nyepesi kuuvaa uhusika wa Siwema aliyeimbwa kwenye wimbo wa ‘Siwema’ wa mwimbaji wa nyimbo za...
11 years ago
Dewji Blog14 Oct
Nina ndoto yangu kuzinduliwa Dar
Ephraim Mwansasu.
Na Mwandishi wetu
MWIMBAJI wa nyimbo za kiroho Mchungaji Kiongozi wa Huduma ya Hossana Life Mission, Ephraim Mwansasu, anatarajia kuzindua albam yake ya tano inayojulikana kwa jina la ‘Nina Ndoto Yangu.’
Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kiongozi huyo alisema ujumbe uliyomo katika wimbo huo ni kwa ajili ya makundi yote bila kubagua madhehebu.
Mchungaji Mwansasu, alisema uzinduzi huo anatarajia kufanya Novemba mbili mwaka huu, ambapo albamu hiyo itakuwa na...
11 years ago
Tanzania Daima12 Oct
JOYCE KIRIA: Changamoto zimefanikisha ndoto yangu
‘UGUMU wa Maisha ni Kipimo cha Akili’ Huu ni usemi uliozoeleka katika maisha ya jamii hasa kwenye miaka ya sasa ambapo hali ya uchumi imekuwa ikizidi kuwa ngumu. Ugumu huo...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Nalimi Mayunga: Ndoto yangu kimataifa imetimia
NA KOKU DAVID
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Nalimi Mayunga ambaye ni mshindi wa shindano la ‘Airtel Trace Music Stars Afrika’, amesema hatawaangusha Watanzania na kwamba ataipeperusha vizuri bendera ya Tanzania nchini Marekani.
Msanii huyo ameondoka jana kuelekea nchini Marekani ambako atafanya kazi na nguli wa muziki wa Rnb duniani, Aliaume Damala ‘Akon’ na atakaa huko kwa wiki moja.
Akizungumza jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka, Mayunga alisema kuwa ndoto yake ya kufanya kazi ya...