Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nina ndoto yangu kuzinduliwa Dar

mwansaDSC07129

Ephraim Mwansasu.

Na Mwandishi wetu

MWIMBAJI wa nyimbo za kiroho Mchungaji Kiongozi wa Huduma ya Hossana Life Mission, Ephraim Mwansasu, anatarajia kuzindua albam yake ya tano inayojulikana kwa jina la ‘Nina Ndoto Yangu.’

Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kiongozi huyo alisema ujumbe uliyomo katika wimbo huo ni kwa ajili ya makundi yote bila kubagua madhehebu.

Mchungaji Mwansasu, alisema uzinduzi huo anatarajia kufanya Novemba mbili mwaka huu, ambapo albamu hiyo itakuwa na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Zitto: Bado nina ndoto ya urais

Kiongozi wa ACT –Wazalendo, Zitto Kabwe amesema atagombea urais baada ya miaka mitano ijayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Membe: Nina ndoto ambayo haijatimia

Mwananchi: Katika maisha kuna ndoto ya kufanikiwa. Wewe binafsi, umewahi kuoteshwa hapo nyuma kuhusu mambo ya urais? Je, bado una ndoto hizo ifikapo 2015 kwani tayari umesema ubunge basi. Je, nini kitafuata?

 

10 years ago

Mwananchi

Issa Mkalinga: Nina ndoto ya kugombea Ubunge Nachingwea 2015

Mwaka 2015 utafanyika Uchaguzi Mkuu unaotajwa kuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na vyama mbalimbali vya siasa kuonyesha kujipanga kuleta upinzani mkubwa kwa chama tawala.

 

10 years ago

Mwananchi

Frank Mwaisumbe: Nina ndoto kuitwaa Mbeya Vijijini 2015

Wakati unapokaribia mwaka 2015, wanasiasa wengi wameanza kutangaza nia zao za kutaka uongozi ukiwamo ubunge. Frank Mwaisumbe, ni mwanasiasa kijana mwenye kiu ya kuwatumikia wananchi

 

11 years ago

GPL

NINA MATUMANINI NA NCHI YANGU - ALLY KIBA

Staa wa Bongo Fleva, Ally Kiba, atakuwa ndani ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 litakalofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Agosti 8, 2014. Ewe, Mtanzania njoo tuungane kudumisha amani ya nchi yetu na kuleta matumaini!

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha:Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu

Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.

Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi bora tu,”anasema Nisha.

Msanii...

 

9 years ago

Bongo Movies

Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu- Nisha

MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu na Komedi Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.

“Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi...

 

10 years ago

Mwananchi

MAULID KITENGE : Simuigi tena Liongo, nina maisha yangu

Maulid Baraka wa Kitenge ni mtangazaji anayetajwa kuwamo kati ya walio bora, wanaotangaza vipindi vya michezo kwenye redio na televisheni nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JOYCE KIRIA: Changamoto zimefanikisha ndoto yangu

‘UGUMU wa Maisha ni Kipimo cha Akili’ Huu ni usemi uliozoeleka katika maisha ya jamii hasa kwenye miaka ya sasa ambapo hali ya uchumi imekuwa ikizidi kuwa ngumu. Ugumu huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani