Nina ndoto yangu kuzinduliwa Dar
Ephraim Mwansasu.
Na Mwandishi wetu
MWIMBAJI wa nyimbo za kiroho Mchungaji Kiongozi wa Huduma ya Hossana Life Mission, Ephraim Mwansasu, anatarajia kuzindua albam yake ya tano inayojulikana kwa jina la ‘Nina Ndoto Yangu.’
Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kiongozi huyo alisema ujumbe uliyomo katika wimbo huo ni kwa ajili ya makundi yote bila kubagua madhehebu.
Mchungaji Mwansasu, alisema uzinduzi huo anatarajia kufanya Novemba mbili mwaka huu, ambapo albamu hiyo itakuwa na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Zitto: Bado nina ndoto ya urais
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Membe: Nina ndoto ambayo haijatimia
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Issa Mkalinga: Nina ndoto ya kugombea Ubunge Nachingwea 2015
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Frank Mwaisumbe: Nina ndoto kuitwaa Mbeya Vijijini 2015
11 years ago
GPL23 Jul
NINA MATUMANINI NA NCHI YANGU - ALLY KIBA
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Nisha:Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu
Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.
Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi bora tu,”anasema Nisha.
Msanii...
9 years ago
Bongo Movies27 Nov
Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu- Nisha
MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu na Komedi Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.
“Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi...
10 years ago
Mwananchi09 Aug
MAULID KITENGE : Simuigi tena Liongo, nina maisha yangu
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
JOYCE KIRIA: Changamoto zimefanikisha ndoto yangu
‘UGUMU wa Maisha ni Kipimo cha Akili’ Huu ni usemi uliozoeleka katika maisha ya jamii hasa kwenye miaka ya sasa ambapo hali ya uchumi imekuwa ikizidi kuwa ngumu. Ugumu huo...