Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nisha:Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu

Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.

Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi bora tu,”anasema Nisha.

Msanii...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu- Nisha

MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu na Komedi Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.

“Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi...

 

11 years ago

GPL

NISHA: MH! ETI NINA MIMBA, WATU BWANA

Stori: Gladness Mallya MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amepangua madai kuwa ni mjamzito na kudai ni maneno ya ya watu licha ya kwamba ukikiangalia kwa makini kitumbo chake unaweza kuhisi kuna kitu ndani. Mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ Akizungumzia madai hayo na kwamba ndicho kinachomfanya asijichanganye na wenzake kama kawaida, Nisha alisema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Nimeamka Nimejikuta Nina Mabadiliko Mwilini-Nisha

Staa wa bongo Movies mwenye visa na vituko vyakufurahisha, Salma Jabu ‘Nisha’ amabaye kwa sasa anatamba sokoni na MTAA kwa MTAA  amewaaacha hoi mashabiki wake baada yakutupia picha hii mtandaoni na kuandika “Nimeamka nimejikuta nna mabadiliko mwilini”.

Picha hii imekuwa ikisambaa kwa kasi zaidi mtandaoni  huku kila mtu akiichombeza kwa maneno yake ukizingatia siku za hivi karibuni kuna baadhi ya mastaa wa kiume wa hapa Bongo wamekuwa wakipiga picha za namna hiyo na kuzua  ‘stories’...

 

11 years ago

GPL

NISHA: NIACHENI NA MAMA YANGU

Stori: Emelder Tarimo Vunja ukimya! Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amevunja ukimya kwa kusema kuwa kwa sasa hana shosti zaidi ya mama yake mzazi. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akifurukuta mbele ya Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita jijini Dar, Nisha alifunguka kwamba mama yake ndiye kila kitu kwani muda mwingi humshauri mambo mazuri na ya kimaendeleo zaidi tofauti na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Nina ndoto yangu kuzinduliwa Dar

mwansaDSC07129

Ephraim Mwansasu.

Na Mwandishi wetu

MWIMBAJI wa nyimbo za kiroho Mchungaji Kiongozi wa Huduma ya Hossana Life Mission, Ephraim Mwansasu, anatarajia kuzindua albam yake ya tano inayojulikana kwa jina la ‘Nina Ndoto Yangu.’

Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kiongozi huyo alisema ujumbe uliyomo katika wimbo huo ni kwa ajili ya makundi yote bila kubagua madhehebu.

Mchungaji Mwansasu, alisema uzinduzi huo anatarajia kufanya Novemba mbili mwaka huu, ambapo albamu hiyo itakuwa na...

 

11 years ago

GPL

NINA MATUMANINI NA NCHI YANGU - ALLY KIBA

Staa wa Bongo Fleva, Ally Kiba, atakuwa ndani ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 litakalofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Agosti 8, 2014. Ewe, Mtanzania njoo tuungane kudumisha amani ya nchi yetu na kuleta matumaini!

 

10 years ago

Mwananchi

MAULID KITENGE : Simuigi tena Liongo, nina maisha yangu

Maulid Baraka wa Kitenge ni mtangazaji anayetajwa kuwamo kati ya walio bora, wanaotangaza vipindi vya michezo kwenye redio na televisheni nchini.

 

9 years ago

Global Publishers

Odama: Hakuna wa kuniondolea heshima yangu

e3f6b2bcade14b728751d0fb61439817Staa wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’.

Imelda mtema
Staa wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amesema kuwa tangu alipoingia katika usanii kitu kikubwa alichokuwa akikilinda ni heshima yake na si kitu kingine hivyo anayejaribu kuishusha afanye kazi ya ziada.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Odama alisema kuwa tangu ameanza kuwa msanii alijitahidi sana kuilinda heshima yake ndiyo maana watu wengi wanapenda kumjua baba wa mtoto wake lakini imekuwa vigumu.

“Watu wengi wanapenda...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli: Nina deni kubwa kwa Watanzania

Rais John Magufuli amesema ana deni kubwa kwa Watanzania baada ya wananchi kuonyesha imani kwake, huku akiwaambia wapinzani kuwa uchaguzi umekwisha na yeye ndiye Rais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani