Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Frank Mwaisumbe: Nina ndoto kuitwaa Mbeya Vijijini 2015

Wakati unapokaribia mwaka 2015, wanasiasa wengi wameanza kutangaza nia zao za kutaka uongozi ukiwamo ubunge. Frank Mwaisumbe, ni mwanasiasa kijana mwenye kiu ya kuwatumikia wananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Issa Mkalinga: Nina ndoto ya kugombea Ubunge Nachingwea 2015

Mwaka 2015 utafanyika Uchaguzi Mkuu unaotajwa kuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na vyama mbalimbali vya siasa kuonyesha kujipanga kuleta upinzani mkubwa kwa chama tawala.

 

10 years ago

Dewji Blog

Nina ndoto yangu kuzinduliwa Dar

mwansaDSC07129

Ephraim Mwansasu.

Na Mwandishi wetu

MWIMBAJI wa nyimbo za kiroho Mchungaji Kiongozi wa Huduma ya Hossana Life Mission, Ephraim Mwansasu, anatarajia kuzindua albam yake ya tano inayojulikana kwa jina la ‘Nina Ndoto Yangu.’

Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kiongozi huyo alisema ujumbe uliyomo katika wimbo huo ni kwa ajili ya makundi yote bila kubagua madhehebu.

Mchungaji Mwansasu, alisema uzinduzi huo anatarajia kufanya Novemba mbili mwaka huu, ambapo albamu hiyo itakuwa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Zitto: Bado nina ndoto ya urais

Kiongozi wa ACT –Wazalendo, Zitto Kabwe amesema atagombea urais baada ya miaka mitano ijayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Membe: Nina ndoto ambayo haijatimia

Mwananchi: Katika maisha kuna ndoto ya kufanikiwa. Wewe binafsi, umewahi kuoteshwa hapo nyuma kuhusu mambo ya urais? Je, bado una ndoto hizo ifikapo 2015 kwani tayari umesema ubunge basi. Je, nini kitafuata?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtwara Vijijini walia na ndoto ya maji ya uhakika

KUTOKANA na shida ya maji ya muda mrefu Wilaya ya Mtwara Vijijini mkoani hapa, Halmashauri ya Wilaya iliyageukia mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ili yawasadie kutatua adha hiyo. Halmashauri ilifanya hivyo...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaahidi kushinda Mbeya Vijijini

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mbeya Vijijini, kimeahidi kutwaa ushindi mchana kweupe katika marudio ya uchaguzi wa udiwani kata ya Santilia. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Katibu...

 

10 years ago

Mwananchi

Melleck: Nina dhamira ya kumng’oa Mrema Vunjo 2015

 Innocent Melleck linaweza kuwa jina geni kwenye medani ya siasa nchini.Pia, ugeni huo haumzuii kutangaza nia ya kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa mwakani kwenye Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Vijimambo

VIJANA 181 WA CCM MBEYA VIJIJINI WAPATIWA MAFUNZO.

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mbeya, Aman Kajuna akiwa meza kuu pamoja na viongozi wengine Katibu wa UVCCM Wilaya ya Mbeya vijijini Japhet Siulanga aitoa taarifa ya mafunzo. Mwenyekiti wa UVCCM, Wilaya ya Mbeya vijijini Msafiri Mwashambwa akimkaribisha mgeni rasmi kuzungumza na washiriki wa mafunzo. Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Mbeya Aman Kajuna akizungumza na vijana waliomaliza mafunzo. Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbeya vijijini, Ipyana Seme akizungumza jambo.Mwenyekiti wa Vijana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani