Mtwara Vijijini walia na ndoto ya maji ya uhakika
KUTOKANA na shida ya maji ya muda mrefu Wilaya ya Mtwara Vijijini mkoani hapa, Halmashauri ya Wilaya iliyageukia mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ili yawasadie kutatua adha hiyo. Halmashauri ilifanya hivyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Frank Mwaisumbe: Nina ndoto kuitwaa Mbeya Vijijini 2015
11 years ago
Michuzi15 Mar
uhaba wa maji ya uhakika dar es salaam kuwa historia karibuni
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Ugawaji pembejeo Mtwara kero tupu, wakulima walia
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CTScMOVZW24/VHir-LIGu_I/AAAAAAAAUIc/S6V8mRalSqM/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MTWARA VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CTScMOVZW24/VHir-LIGu_I/AAAAAAAAUIc/S6V8mRalSqM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r8xbgZdRbfs/VHisFCwcitI/AAAAAAAAUJk/xcXMOUJVr6A/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ae6g6ix6mNk/VHisHMF9v1I/AAAAAAAAUKE/2BU8IZ6SBbA/s1600/4.jpg)
10 years ago
GPL29 Nov
9 years ago
Habarileo11 Dec
Mtwara Vijijini watakiwa kuacha tofauti za kisiasa
MADIWANI wa Halmashauri ya Mtwara Vijijini mkoani Mtwara, wametakiwa kuacha tofauti zao za kisiasa badala yake washikamane katika kuijenga Halmashauri hiyo na kuwaletea wanachi waliowachagua maendeleo kwa haraka.
10 years ago
StarTV22 Dec
Watu wawili wauawa Mwembe Togwa Mtwara Vijijini.
Na Joseph Mpangala,
Mtwara.
Vijana wawili wameuawa kwa kupigwa na wananchi kwa tuhuma za ujambazi katika shule ya Msingi Mwembe Togwa wilayani Mtwara Vijijini.
Vijana hao wanaosadikika kuwa walitaka kuiba vifaa vya shule hiyo vinavyotumia mtandao kwa ajili ya kujifunzia na kutoa taarifa kutoka ngazi ya chini kupeleka wilayani wameuawa baada ya mlinzi wa Shule kutoa taarifa katika nyumba za jirani na shule hiyo ndipo wakazi wa eneo hilo walikusanyika na kuwaua.
Ilikuwa majira ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Njt6AfN-OyE/VfpjSyaACOI/AAAAAAAH5eU/gF7jwfjUhHo/s72-c/1.%2BMakonga%2BNewala.jpg)
KAMPENI ZA MGOMBEA MWEZA SAMIA MTWARA VIJIJINI JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Njt6AfN-OyE/VfpjSyaACOI/AAAAAAAH5eU/gF7jwfjUhHo/s640/1.%2BMakonga%2BNewala.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r81cWdxwQgk/VfpjVjJzOeI/AAAAAAAH5e0/PgRKbiWWJOs/s640/2.jpg)
10 years ago
StarTV28 Dec
Wananchi Mtwara Vijijini wamtupia lawama Mbunge wao.
Na Joseph Mpangali,
Mtwara.
Wakazi wa Mtwara Vijijini wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kutekeleza ahadi ya kupeleka mtandao wa mawasiliano ya Simu kwa kipindi kirefu sasa.
Hali hiyo inadaiwa kuwalazimu wakazi hao kutumia simu kama kifaa cha kusikilizia muziki.
Licha ya Rais Jakaya Kikwete kufanya ziara wilaya Mtwara na kutoa maagizo ya kufuatilia kwa Mbunge wa jimbo hilo ambaye ni Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Hawa Ghasia lakini mpaka sasa hakuna...