Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtwara Vijijini walia na ndoto ya maji ya uhakika

KUTOKANA na shida ya maji ya muda mrefu Wilaya ya Mtwara Vijijini mkoani hapa, Halmashauri ya Wilaya iliyageukia mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ili yawasadie kutatua adha hiyo. Halmashauri ilifanya hivyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Frank Mwaisumbe: Nina ndoto kuitwaa Mbeya Vijijini 2015

Wakati unapokaribia mwaka 2015, wanasiasa wengi wameanza kutangaza nia zao za kutaka uongozi ukiwamo ubunge. Frank Mwaisumbe, ni mwanasiasa kijana mwenye kiu ya kuwatumikia wananchi

 

11 years ago

Michuzi

uhaba wa maji ya uhakika dar es salaam kuwa historia karibuni

Tatizo la muda mrefu la uhaba wa maji ya uhakika linalowakabili wakaazi wa mkoa wa Dar es Salaam na mikoa mengine inayohudumiwa na mitambo ya maji ya Ruvu Juu na Ruvu Chini sasa litakuwa historia...  Mafundi wakiendelea kulaza mabomba yatakayotumika kusafirishia maji kutoka Mitambo ya Maji ya Ruvu Chini mpaka kwenye Tanki la kuhifadhia maji lililopo Chuo Kikuu cha Ardhi jijini Dar es Salaam. Mpaka sasa mafundi hao wameshasambaza mabomba kwa umbali wa kilomita takribani 29 kati ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Ugawaji pembejeo Mtwara kero tupu, wakulima walia

“Wakulima wa korosho tunaweza kuboresha uchumi wetu kama Serikali itakuwa na nia madhubuti ya kukuza na kuwekeza katika kilimo.”

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MTWARA VIJIJINI

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi waliojitokeza kumpokea wakati akiwasili wilaya ya Mtwara kijijini. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Mtwara vijijini ,Katibu Mkuu wa CCM anazunguka nchi nzima kufuatilia utekelezaji wa ilani na kuimarisha chama chetu. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akisisitiza wananchi wa kata ya Nanyamba kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa...

 

9 years ago

Habarileo

Mtwara Vijijini watakiwa kuacha tofauti za kisiasa

MADIWANI wa Halmashauri ya Mtwara Vijijini mkoani Mtwara, wametakiwa kuacha tofauti zao za kisiasa badala yake washikamane katika kuijenga Halmashauri hiyo na kuwaletea wanachi waliowachagua maendeleo kwa haraka.

 

10 years ago

StarTV

Watu wawili wauawa Mwembe Togwa Mtwara Vijijini.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Vijana wawili wameuawa kwa kupigwa na wananchi kwa tuhuma za ujambazi katika shule ya Msingi Mwembe Togwa wilayani Mtwara Vijijini.

 

Vijana hao wanaosadikika kuwa walitaka kuiba vifaa vya shule hiyo vinavyotumia mtandao kwa ajili ya kujifunzia na kutoa taarifa kutoka ngazi ya chini kupeleka wilayani wameuawa baada ya mlinzi wa Shule kutoa taarifa katika nyumba za jirani na shule hiyo ndipo wakazi wa eneo hilo walikusanyika na kuwaua.

 

Ilikuwa majira ya...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA MGOMBEA MWEZA SAMIA MTWARA VIJIJINI JANA

 Wananchi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, alipozungumza na walipozuia msafara wake njiani, katika eneo la Makonga wilayani Newala, wakati akieda kuhutubia mkikutano ya kampeni katika jimbo la Newala Vijijini mkoani Mtwara jana, Septemba 16, 2015. Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Liwale mjini, George Mkuchika, katika mkutanowa kampeni uliofanyika jana, Septemba 16, 2015,...

 

10 years ago

StarTV

Wananchi Mtwara Vijijini wamtupia lawama Mbunge wao.

Na Joseph Mpangali,

Mtwara.

 

 

Wakazi wa Mtwara Vijijini wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kutekeleza ahadi ya kupeleka mtandao wa mawasiliano ya Simu kwa kipindi kirefu sasa.

 

 

Hali hiyo inadaiwa kuwalazimu wakazi hao kutumia simu kama kifaa cha kusikilizia muziki.

 

Licha ya Rais Jakaya Kikwete kufanya ziara wilaya Mtwara na kutoa maagizo ya kufuatilia kwa Mbunge wa jimbo hilo ambaye ni Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Hawa Ghasia lakini mpaka sasa hakuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani