Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIJANA WA NANYAMBA MTWARA VIJIJINI NA SINDIMBA YA KISASA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Elimu kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana yawafikia Vijana wa Mbeya Vijijini

Na Genofeva Matemu – Maelezo, Mbeya
Vijana wa Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya Vijijini wametakiwa kutokuwa na tafsiri hasi kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kuwa ni takrima inayotolewa na serikali kwa vijana hivyo kuchezea fedha hizo na kushindwa kurejesha mkopo watakaouomba kupitia mfuko huo.
Hayo yamesemwa na Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wakati wa semina iliyotolewa kwa Vijana wa Mbeya Vijijini kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Stadi za...

 

10 years ago

Michuzi

Vijana Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara wajiajiri kupitia mfuko wa mendeleo ya Vijana

Kikosi kazimaalum kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo wa kiongea na Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani ,Bw. Rashid Mohamed walimpotembelea leo ofisini kwake kwa ajili ya kufuatilia na kufanya tathmini ya mikopo iliyokwishatolewa katika Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-mikindani. Wajumbe wa kikundi cha AMKENI kutoka Halmashauri ya manispaa ya Mtwara mikindani wakiwa katika majadiliano na wajumbe wa kikosi kazi maalum kutoka...

 

11 years ago

Habarileo

Mtwara,Lindi kuwa ya kisasa

UCHUMI wa gesi unaotarajiwa kuinua maisha ya Watanzania, umesababisha Rais Jakaya Kikwete kuagiza maandalizi ya haraka ya ujenzi wa majiji ya kisasa katika miji ya Mtwara na Lindi. Akizungumza juzi na Waziri wa Nyumba, Makazi na Maendeleo ya Miji na Vijiji wa China, Jiang Weixin Ikulu, Zanzibar, Rais Kikwete aliomba nchi hiyo kusaidia kupanga miji ya kimkakati ya Mtwara, Lindi na Kigamboni, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MTWARA VIJIJINI

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi waliojitokeza kumpokea wakati akiwasili wilaya ya Mtwara kijijini. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Mtwara vijijini ,Katibu Mkuu wa CCM anazunguka nchi nzima kufuatilia utekelezaji wa ilani na kuimarisha chama chetu. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akisisitiza wananchi wa kata ya Nanyamba kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtwara Vijijini walia na ndoto ya maji ya uhakika

KUTOKANA na shida ya maji ya muda mrefu Wilaya ya Mtwara Vijijini mkoani hapa, Halmashauri ya Wilaya iliyageukia mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ili yawasadie kutatua adha hiyo. Halmashauri ilifanya hivyo...

 

9 years ago

Habarileo

Mtwara Vijijini watakiwa kuacha tofauti za kisiasa

MADIWANI wa Halmashauri ya Mtwara Vijijini mkoani Mtwara, wametakiwa kuacha tofauti zao za kisiasa badala yake washikamane katika kuijenga Halmashauri hiyo na kuwaletea wanachi waliowachagua maendeleo kwa haraka.

 

10 years ago

StarTV

Watu wawili wauawa Mwembe Togwa Mtwara Vijijini.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Vijana wawili wameuawa kwa kupigwa na wananchi kwa tuhuma za ujambazi katika shule ya Msingi Mwembe Togwa wilayani Mtwara Vijijini.

 

Vijana hao wanaosadikika kuwa walitaka kuiba vifaa vya shule hiyo vinavyotumia mtandao kwa ajili ya kujifunzia na kutoa taarifa kutoka ngazi ya chini kupeleka wilayani wameuawa baada ya mlinzi wa Shule kutoa taarifa katika nyumba za jirani na shule hiyo ndipo wakazi wa eneo hilo walikusanyika na kuwaua.

 

Ilikuwa majira ya...

 

10 years ago

StarTV

Wananchi Mtwara Vijijini wamtupia lawama Mbunge wao.

Na Joseph Mpangali,

Mtwara.

 

 

Wakazi wa Mtwara Vijijini wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kutekeleza ahadi ya kupeleka mtandao wa mawasiliano ya Simu kwa kipindi kirefu sasa.

 

 

Hali hiyo inadaiwa kuwalazimu wakazi hao kutumia simu kama kifaa cha kusikilizia muziki.

 

Licha ya Rais Jakaya Kikwete kufanya ziara wilaya Mtwara na kutoa maagizo ya kufuatilia kwa Mbunge wa jimbo hilo ambaye ni Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Hawa Ghasia lakini mpaka sasa hakuna...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA MGOMBEA MWEZA SAMIA MTWARA VIJIJINI JANA

 Wananchi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, alipozungumza na walipozuia msafara wake njiani, katika eneo la Makonga wilayani Newala, wakati akieda kuhutubia mkikutano ya kampeni katika jimbo la Newala Vijijini mkoani Mtwara jana, Septemba 16, 2015. Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Liwale mjini, George Mkuchika, katika mkutanowa kampeni uliofanyika jana, Septemba 16, 2015,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani