Wananchi Mtwara Vijijini wamtupia lawama Mbunge wao.
Na Joseph Mpangali,
Mtwara.
Wakazi wa Mtwara Vijijini wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kutekeleza ahadi ya kupeleka mtandao wa mawasiliano ya Simu kwa kipindi kirefu sasa.
Hali hiyo inadaiwa kuwalazimu wakazi hao kutumia simu kama kifaa cha kusikilizia muziki.
Licha ya Rais Jakaya Kikwete kufanya ziara wilaya Mtwara na kutoa maagizo ya kufuatilia kwa Mbunge wa jimbo hilo ambaye ni Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Hawa Ghasia lakini mpaka sasa hakuna...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Wananchi wamshitaki mwenyekiti wao kwa mbunge
WAKAZI wa Kijiji cha Kongogo wilayani hapa mkoani Dodoma, wamemshitaki Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Daudi Husein kwa Mbunge wao, Omar Badwel (CCM), kwa madai ya kujigeuza Mungu mtu katika utendaji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqylFzOprOoJpP3g7IYbHDsmQ*aVtKKONGlN3W8j9g2w1gldrQBZUb4PIhDh*DF306xTrBgXbmdw1w2tAgBDOL5h/UpigajiKuraTanzania.jpg)
WANANCHI JIMBO LA CHALINZE KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qhfGSau2jh8/U_ch_Q-LWUI/AAAAAAABsrE/eU0DgJy4TyI/s72-c/IMG_6760.jpg)
WANANCHI KIJIJI CHA MADINDO MLANGALI WASHIRIKIANA NA MBUNGE NA DIWANI WAO KUJENGA MRADI WA MAJI WA MILIONI 15
![](http://2.bp.blogspot.com/-qhfGSau2jh8/U_ch_Q-LWUI/AAAAAAABsrE/eU0DgJy4TyI/s1600/IMG_6760.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FHpqGfJy3-w/U_b6RbhyuvI/AAAAAAABskU/UP5OtlKAoT8/s640/IMG_6835.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCMHb01tmsk/U_b8ghKfHDI/AAAAAAABsk8/et-DICiBMiY/s640/IMG_6879.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oBbMOVTPjaU/U_b714LEEoI/AAAAAAABsk0/OPT_RtImZqE/s640/IMG_6871.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s72-c/sdgds.jpg)
WANANCHI KUTOKA MARA WAWASILI KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI EDWARD LOWASSA MONDULI,WAMKOSA WAELEZEA UJIO WAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-meZF6Zbf2l4/VRf9lJzpmLI/AAAAAAADRrI/NoRTgYkCxz4/s1600/sdgds.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aerxu2mR3I8/VRf9hYkX_yI/AAAAAAADRq4/drpO59LINgM/s1600/gdg.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Wananchi wa Morogoro mjini wamnunulia fomu Abood ili aendelee kuwa mbunge wao Jimbo Morogoro mjini
![](https://mmi203.whatsapp.net/d/BBpzRaxwBsSgUTYiFylVpFWovuQ/AlSN--FYdVvyXzfBoJJbdd0Y5jIcL3YPi0UOIWPXknOC.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood akipokea michango ya wanafunzi waliojitokeza kumchangia mbunge huyu ili achukue fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi Mara baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Mbunge huyo ambaye amefanya mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kuwalipia ada zaidi ya wanafunzi 500 wasiokuwa na uwezo wa kujilipia ada na wanaoishi katika mazingira magumu.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood, akipokea kiasi cha...
10 years ago
GPL29 Nov
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CTScMOVZW24/VHir-LIGu_I/AAAAAAAAUIc/S6V8mRalSqM/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MTWARA VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CTScMOVZW24/VHir-LIGu_I/AAAAAAAAUIc/S6V8mRalSqM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r8xbgZdRbfs/VHisFCwcitI/AAAAAAAAUJk/xcXMOUJVr6A/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ae6g6ix6mNk/VHisHMF9v1I/AAAAAAAAUKE/2BU8IZ6SBbA/s1600/4.jpg)
9 years ago
Habarileo11 Dec
Mtwara Vijijini watakiwa kuacha tofauti za kisiasa
MADIWANI wa Halmashauri ya Mtwara Vijijini mkoani Mtwara, wametakiwa kuacha tofauti zao za kisiasa badala yake washikamane katika kuijenga Halmashauri hiyo na kuwaletea wanachi waliowachagua maendeleo kwa haraka.
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mtwara Vijijini walia na ndoto ya maji ya uhakika
KUTOKANA na shida ya maji ya muda mrefu Wilaya ya Mtwara Vijijini mkoani hapa, Halmashauri ya Wilaya iliyageukia mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ili yawasadie kutatua adha hiyo. Halmashauri ilifanya hivyo...