LUCKY SABAS : Kuwa mbunifu wa mitindo ilikuwa ndoto yangu
Safari yake kwenye tasnia ya uanamitindo ilianza rasmi, mwaka 2006, pale aliposhiriki shindano la Miss Utalii Tanzania. Alipambana na kufanikiwa kuingia fainali katika onyesho hilo lililokuwa na mvuto kwa mashabiki wake kipindi cha awali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jan
ZUHURA YUNUS: Haikuwa ndoto yangu kuwa mtangazaji
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Mbunifu wa Mitindo Amina Plummer awafunda wanawake wajasiriamali namna ya kujitambua
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11822711_923652997681225_6432442291480398172_n.jpg?oh=31727df288cad95a97e7232bd157e9bb&oe=564E5AA2)
Mbunifu na Mmiliki wa Maduka ya Amina Design ambaye pia ni Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Amina Plummer akitoa mada kwenye semina ya kuwawezesha wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Taasisi ya Manjano Foundation, ambayo imeanzisha jukwaa kwa ajili ya kuandaa Miradi ambayo itamuinua mwanamke wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D65woYpNhUY/VcRNWff9oAI/AAAAAAAAHyE/K0Qzx0NvCis/s72-c/20150805123429.jpg)
MBUNIFU WA MITINDO AMINA PLUMMER ATOA MADA NAMNA YA KUJITAMBUA KWENYE SEMINA YA KUWAWEZESHA WANAWAKE WAJASIRIAMALI
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11822711_923652997681225_6432442291480398172_n.jpg?oh=31727df288cad95a97e7232bd157e9bb&oe=564E5AA2)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-D65woYpNhUY/VcRNWff9oAI/AAAAAAAAHyE/K0Qzx0NvCis/s72-c/20150805123429.jpg)
MBUNIFU WA MITINDO AMINA PLUMMER ATOA MADA NAMNA KUJITAMBUA KWENYE SEMINA YA KUWAWEZESHA WANAWAKE WAJASIRIAMALI
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11822711_923652997681225_6432442291480398172_n.jpg?oh=31727df288cad95a97e7232bd157e9bb&oe=564E5AA2)
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Nyilawila: Safari yangu Czech ilikuwa ngumu
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ro93ZZ9vlEs/U-nqz0mireI/AAAAAAAF-4s/C2ipjceq4XA/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Airtel yazindua huduma mpya ya mitindo kwa njia ya simu kwa kushirikiana na Mbunifu Mahiri Afrika Mustafa hassanali.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ro93ZZ9vlEs/U-nqz0mireI/AAAAAAAF-4s/C2ipjceq4XA/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Nina ndoto yangu kuzinduliwa Dar
Ephraim Mwansasu.
Na Mwandishi wetu
MWIMBAJI wa nyimbo za kiroho Mchungaji Kiongozi wa Huduma ya Hossana Life Mission, Ephraim Mwansasu, anatarajia kuzindua albam yake ya tano inayojulikana kwa jina la ‘Nina Ndoto Yangu.’
Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kiongozi huyo alisema ujumbe uliyomo katika wimbo huo ni kwa ajili ya makundi yote bila kubagua madhehebu.
Mchungaji Mwansasu, alisema uzinduzi huo anatarajia kufanya Novemba mbili mwaka huu, ambapo albamu hiyo itakuwa na...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Nalimi Mayunga: Ndoto yangu kimataifa imetimia
NA KOKU DAVID
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Nalimi Mayunga ambaye ni mshindi wa shindano la ‘Airtel Trace Music Stars Afrika’, amesema hatawaangusha Watanzania na kwamba ataipeperusha vizuri bendera ya Tanzania nchini Marekani.
Msanii huyo ameondoka jana kuelekea nchini Marekani ambako atafanya kazi na nguli wa muziki wa Rnb duniani, Aliaume Damala ‘Akon’ na atakaa huko kwa wiki moja.
Akizungumza jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka, Mayunga alisema kuwa ndoto yake ya kufanya kazi ya...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
JOYCE KIRIA: Changamoto zimefanikisha ndoto yangu
‘UGUMU wa Maisha ni Kipimo cha Akili’ Huu ni usemi uliozoeleka katika maisha ya jamii hasa kwenye miaka ya sasa ambapo hali ya uchumi imekuwa ikizidi kuwa ngumu. Ugumu huo...