Turufu ya Rasimu ya Sitta hii hapa
RASIMU ya tatu ya Katiba maarufu kama Rasimu ya Sitta ambayo leo inaanza kupigiwa kura imejikita katika kutetea mahitaji na maslahi mahususi ya makundi makubwa ya jamii ili ikubalike kirahisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Sep
Rasimu ya Katiba mpya hii hapa
RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa, imewekwa hadharani huku Muungano uliogeuka hoja kuu wakati wa mjadala wa Rasimu ya Pili ya Katiba, ukibadilishwa na kuwa na baadhi ya sura mpya za kimuundo na kiutendaji, ambazo hazijawahi kupendekezwa katika historia ya Muungano.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TIs1pj-7idk/VCLVHwNEhEI/AAAAAAAAL_M/6jVFtjoOrLk/s72-c/b5.jpg)
RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPENDEKEZWA HII HAPA; CHENGE AIWEKA HADHARANI KUPIGIWA KURA LEO JUMATATU SEPT 29
![](http://4.bp.blogspot.com/-TIs1pj-7idk/VCLVHwNEhEI/AAAAAAAAL_M/6jVFtjoOrLk/s640/b5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HJU_KKHsRGM/VCLVWSKvvNI/AAAAAAAAL_s/ESTBsy5e-j8/s640/b7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hQmbvsZUV-k/VCLWOqB9hhI/AAAAAAAAMAM/rQAY8Bq2zoY/s640/b12.jpg)
10 years ago
Mtanzania29 Sep
Masheikh waikataa Rasimu ya Sitta
![Sheikh Rajabu Katimba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Sheikh-Rajabu-Katimba1.jpg)
Msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Rajabu Katimba
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
SHURA ya Maimamu Tanzania imetangaza hatua za kuikwamisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, kwa kwenda kuwaeleza waumini wa dini ya Kiislamu kupiga kura ya hapana.
Hatua hiyo imekuja baada ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge, kuiweka kando Mahakama ya Kadhi.
Akizungumza na MTANZANIA jana mara baada ya...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Washindwa kuandamana kupinga rasimu ya Sitta
WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Geita wameshindwa kuandamana kwa amani kupinga rasimu ya Kaitba mpya iliyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba jana baada jeshi la polisi...
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Sitta azidi kuinanga rasimu ya Jaji Warioba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
MAREGESI PAUL NA RACHEL MRISHO, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameendelea kusisitiza kuwa rasimu ya Katiba mpya iliyosimamiwa na Jaji Joseph Warioba imejaa kasoro.
Kutokana na hali hiyo, amesema Bunge Maalumu la Katiba limelazimika kuiboresha kwa kuwa kila kitu kinachoandikwa na binadamu hakiwezi kuwa sahihi.
Sitta alitoa kauli hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akipokea...
10 years ago
Mwananchi05 Oct
‘Kura yangu kwenye rasimu ni hapa’
9 years ago
MillardAyo06 Jan
TRA ya Rais Magufuli imevunja rekodi hii makusanyo ya Kodi, yale makontena je? Hii hapa yote..
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali pamoja na zile jitihada za kuhakikisha Tanzania inakuwa na makusanyo mazuri ya mapato ya Serikali imekuja na good news leo January 06 2016. Waziri mpya wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango aliwahi kunukuliwa akisema ni aibu kwa kiongozi wa nchi kwenda nje ya […]
The post TRA ya Rais Magufuli imevunja rekodi hii makusanyo ya Kodi, yale makontena je? Hii hapa yote.. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Mwananchi15 Jun
‘Rasimu hii itafunga wengi’