Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanatamani elimu wakiwa kwenye giza tororo

Watoto yatima ni kundi kubwa la vijana na watoto ambao wametengwa katika elimu. Fursa ya elimu kwao ni kama hisani kwa sababu tu ya hali ya maisha wanayoishi kutokana na kufiwa na walezi au wazazi wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWAKA HUO UNAYOYOMA, UNAENDELEA KUISHI KWENYE PENZI LA GIZA?

NAMSHUKURU Mungu kunikutanisha kwa mara nyingine na nyinyi marafiki zangu ambao mmekuwa mkifuatilia makala zangu kipitia safu hii ya Love & Story. Huu ndiyo uwanja wetu wa kupeana mawili matatu yahusuyo masuala ya uhusiano. Kupitia hapa tunaweza kubadilika kama kweli tunaamua kubadilika. Kwenye maisha kila kitu kinahitaji kuweka nia katika jambo fulani, kuliwekea mikakati na hatimaye kulifanikisha.Usikubali kuishi bila kujiwekea...

 

10 years ago

GPL

MWAKA HUO UNAANZA KUSOGEA, UNAENDELEA KUISHI KWENYE PENZI LA GIZA?

WIKI iliyopita tuliianza mada hii ambayo inatufundisha juu ya umuhimu wa kujitambua kupitia makosa tuliyoyapitia, leo tunaimalizia. Hakuna sababu ya kuishi katika penzi ambalo halina muelekeo mzuri wa baadaye kama ulivyoishi mwaka jana, ni bora kujiengua na kusubiri kumpata yule atakayetambua thamani ya penzi lako na kupanga mipango endelevu. Kwa wale tuliokuwa pamoja, tuliishia kwenye kipengele cha TATIZO SUGU. Nilieleza namna...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

10 years ago

CloudsFM

Wasanii wakiwa kwenye interview Ras Fm Dodoma

RechoVanessa MdeeLinnahNay Wa MitegoStaminaYoung KillerMo MusicK-StyleJuxG-LuckyFid QEddu BoyDully SykesAlly KibaMr.BlueBaraka Da Prince

 

5 years ago

Michuzi

Taasisi ya Shulesoft yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao, wanafunzi kusoma wakiwa nyumbani bila gharama

Mkurugenzi Mkuu wa shulesoft, Efraim Swilla akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa kutamburisha huduma ya bure kwa wanafunzi wa shule za awali, shule za msingi pamoja na shule za sekondari kwaajili ya kujisomea notes(waraka) wakiwa nyumbani kwa kipindi hiki ambacho wamefunga shule kwaajili ya ongezeko la mripuko wa virusi vya COVID 19.
Na Avila Kakingo, globu ya jamiiTAASISI isiyo ya kiserikali ya Shulesoft hapa nchini yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao ili...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sabby, Cyrill Wanaswa Wakiwa Kwenye Pozi Tata!

Mrembo na staa wa Bongo Movie, Sabrina Omary ‘Sabby’  na  muziki wa Bongo Fleva, Cyrill Kamikaze hivi karibuni walinaswa katika ufukwe wa Hoteli ya Golden Tulip, Masaki jijini Dar wakiwa kimahaba na hivyo kuzidisha tetesi kuwa wanatoka kimapenzi.

Chanzo chanzo makini cha GPL kilisema wawili hao walionekana hotelini hapo wakiwa eneo la kuogelea na walipomaliza walihamia katika viti ambako sasa walikumbatiana kimahaba kana kwamba hakuna mtu anayewaona.

Kwa nyakati tofauti walipoulizwa kuhusu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: JB ,Richie na Mzee Majuto Wakiwa Kwenye Tamasha la Amani-Mwanza

Hizi ni baahi ya picha za wasanii, Jacob Stepeh ‘JB’, Single Mtambalike ‘Richie’ , Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ na Mzee Matuto wakiwa kawenye tamasha la Amani jiji Mwanza leo hii, ambapo mbali na kuombea amani kwenye nchi yetu, tamsha hili linabeba ujumbe mzito kukemea mauaji na watu walemavu wa ngozi  (Albino).

 

9 years ago

Vijimambo

HAPA KAZI TU NA SAFARI YA MATUMAINI WAKIWA KWENYE MICHAKATO YA KUOMBA KURA

 Mkogombea Urais kupitia Ukawa akimnadi mkombea ubunge katika moja ya harakati za kuomba kura huko mikoani.
Mgombea Urais kupitia Cha Cha Mapinduzi akimnadi mgombea mchaka chaka shinja kwa nguvu zote.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahari yapigwa marufuku Tororo Uganda

Wilaya ya Tororo imepiga marufuku utoaji wa Mahari ikisema inadhalilisha mwanamke

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani