Taasisi ya Shulesoft yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao, wanafunzi kusoma wakiwa nyumbani bila gharama
![](https://1.bp.blogspot.com/-f-rrw06VwGY/XntjW9AtcvI/AAAAAAALlAc/ITmSc2hIno4lK08iSUxlbSxUtcgpoxyIACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-25%2Bat%2B12.38.45%2BPM.jpeg)
Mkurugenzi Mkuu wa shulesoft, Efraim Swilla akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa kutamburisha huduma ya bure kwa wanafunzi wa shule za awali, shule za msingi pamoja na shule za sekondari kwaajili ya kujisomea notes(waraka) wakiwa nyumbani kwa kipindi hiki ambacho wamefunga shule kwaajili ya ongezeko la mripuko wa virusi vya COVID 19.
Na Avila Kakingo, globu ya jamiiTAASISI isiyo ya kiserikali ya Shulesoft hapa nchini yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao ili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FDfkNrFrR28/XvX6spBJHqI/AAAAAAALvlE/FXHo4AJr2YIgyQtr5QAHjJr66JQDXJlPgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B4.01.03%2BPM.jpeg)
Taasisi ya ShuleSoft inakuletea Rudi Shule na ShuleSoft
![](https://1.bp.blogspot.com/-FDfkNrFrR28/XvX6spBJHqI/AAAAAAALvlE/FXHo4AJr2YIgyQtr5QAHjJr66JQDXJlPgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B4.01.03%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_xVvffwrJUc/XvX6s226A7I/AAAAAAALvlM/VmOS1FspI1EODw_-rNwuMT_WAolO-eqiQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B4.01.06%2BPM.jpeg)
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Hospitali ya Amana yaanza kutoa huduma kwa njia ya mtandao
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Taasisi 12 zanyimwa fursa kutoa elimu ya Katiba
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LCHK9nz4FDQ/U-DeZgFR0QI/AAAAAAAAkyA/iNfP8KW7ey8/s72-c/unnamed.jpg)
Waziri Makame azindua Mtandao wa Kuunganisha Taasisi za Elimu ya Juu na Utafiti
![](http://1.bp.blogspot.com/-LCHK9nz4FDQ/U-DeZgFR0QI/AAAAAAAAkyA/iNfP8KW7ey8/s1600/unnamed.jpg)
Mtandao huo umeunganisha Taasisi za Elimu ya Juu na Utafiti 22 nchini ambapo Vyuo Vikuu mbalimbali nchini vinaweza kuwasiliana, kutoa huduma ya elimu mtandao, maktaba mtandao,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
10 years ago
VijimamboTAASISI YA KILAWA ENTERPRISES YAJIKITA KUTOA ELIMU KWA WAKULIMA
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-vMMc9OVyn5o/U0UwMiu8BQI/AAAAAAAAAPY/jRzHOoC3YDA/s72-c/01+Securing-The-Human.jpg)
USALAMA MTANDAO NA NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUTOA ELIMU.
Miongoni mwa jitihada zinaonekana kwa vyombo vya habari na makundi mbali mbali nchini Tanzania kuanza kuona umuhimu wa maswala ya ulinzi...
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Dude kutoa elimu zaidi kwa wanafunzi
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, amesema yeye kama kioo cha jamii hana budi kutumia muda wake kuelimisha wanafunzi ili waweze kufanya vizuri katika masomo yao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Dude alisema amekuwa akiwahamasisha wanafunzi, kupitia zawadi kama madaftari, vitabu, viatu hata sare za shule.
“Kama unavyojua mtoto unapompatia zawadi na kumuahidi mambo mazuri, lazima atajitahidi, nitaendelea kutembelea shule mbalimbali kuhamasisha...
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Serikali yaendelea kutoa elimu ya Sheria ya makosa ya mtandao kwa Maafisa Habari
Mkurugenzi msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi Zamaradi Kawawa akifurahia jambo na Mkuu wa Masuala ya Siasa na Habari wa Umoja wa nchi za Ulaya (EU) nchini Tanzania Bi Luana Reale wakati wa warsha ya Maafisa Mawasiliano Serikalini kuhusu Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 (cybercrime Act 2015. iliyofanyika jana Jijini Dar es salaam.(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo).