Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taasisi ya ShuleSoft inakuletea Rudi Shule na ShuleSoft

 Mkurugenzi Mkuu wa ShuleSoft, Ephraim Swilla akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kutambulisha wanafunzi, wamiliki wa shule pamoja na wazazi kurudi shule na shuleSoft ili kuendelea kutumia mifumo ya Kidijitali kujipatia elimu na kuendesha mifumo mbalimbali ya shule bila usumbufu.Mkurugenzi Mkuu wa ShuleSoft, Ephraim  Swilla akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo (June 26,2020) wakati akitambulisha kurudi shule na shuleSoft shule...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Taasisi ya Shulesoft yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao, wanafunzi kusoma wakiwa nyumbani bila gharama

Mkurugenzi Mkuu wa shulesoft, Efraim Swilla akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa kutamburisha huduma ya bure kwa wanafunzi wa shule za awali, shule za msingi pamoja na shule za sekondari kwaajili ya kujisomea notes(waraka) wakiwa nyumbani kwa kipindi hiki ambacho wamefunga shule kwaajili ya ongezeko la mripuko wa virusi vya COVID 19.
Na Avila Kakingo, globu ya jamiiTAASISI isiyo ya kiserikali ya Shulesoft hapa nchini yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao ili...

 

10 years ago

GPL

SHULE MBALIMBALI DAR KUSAIDIWA NA TAASISI YA SVF

Katibu Mkuu wa SVF, Leontine B. Rwechungura (wa pili kushoto) akizungumza jambo katika mkutano huo. Ofisa Elimu, Elimu ya Watu Wazima mkoa wa Dar, Benadetha…

 

5 years ago

Michuzi

Taasisi ya Jangwani to Forest Movement yapanda miti 50 katika Shule mbili


Na Chalila Kibuda,Michuzi Globu.

Wanafunzi wakipata elimu ya utuzaji wa Mazingira ni hazina ya taifa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Hayo aliyasema Mwasisi wa Jangwani to Forest Movement Verdiana Nsongo wakati wa upandaji wa miti katika Shule za Msingi za Msisiri na Kinondoni zilizopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa misingi bora ya utunzaji mazingira ni kutoa elimu kwa  wanafunzi kuanzia katika maeneo yao shule ambapo wanaoweza kwenda kutoa elimu katika...

 

10 years ago

Michuzi

TAASISI YA STARKEY HEARING FOUNDATION YAKABIDHI MADARASA MATATU SHULE YA MSINGI YA LOIBORSOIT

1Mwanzilishi wa Taasisi ya Starkey Hearing Foundation, Bill Austin pamoja na Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka wakifunua kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa majengo matatu ya shule ya Msingi ya Loiborsoit yaliyojengwa na mwanzilishi huyo kwa ajili ya jamii ya Kimasai katika sherehe zilizofanyika eneo hilo wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara jana.David na steven.23Mwanzilishi wa Taasisi ya Starkey Hearing Foundation, Bill Austin akipima sikio kwa mmoja wa watoto waliohudhuria...

 

10 years ago

Vijimambo

5 years ago

CCM Blog

MWONGOZO WA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA (CORONA COVID-19) KATIKA SHULE, VYUO NA TAASISI ZA ELIMU NCHINI


Kufuatia Mlipuko wa Ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19) uliripotiwa kwa mara ya kwanza hapa nchini tarehe 16 Machi, 2020, Serikali ilichukua hatua mbalimbali kwa ajili ya kudhibiti kuenea kwa ugonjwa huu nchini. 
Hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kufunga shule zote za Awali, Msingi, Sekondari, Vyuo na taasisi za elimu nchini. Kutokana na takwimu za mwenendo wa ugonjwa huu nchini kwa sasa kuonyesha kupungua kwa maambukizi ya Virusi vya Corona, mnamo...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AIPONGEZA TAASISI YA DK MSUYA FOUNDATION KWA KUKARABATI SAMANI ZA SHULE YA SEKONDARI IBIHWA


Charles James, Michuzi TV

UZALENDO! Ndio kauli ambayo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameitumia kuipongeza Taasisi ya Dk Msuya Foundation kwa kuwezesha kusaidia ukarabati samani za Shule ya Sekondari Ibihwa iliyopo wilayani Bahi, Dodoma.

Waziri Jafo ameipongeza taasisi hiyo inayoongozwa na Dk Ombeni Msuya kwa moyo wao wa kizalendo uliowezesha ukarabati huo wa Viti 76 na Meza 45 kwenye shule hiyo ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali za kuinua elimu nchini.

Akizungumza...

 

10 years ago

GPL

11 years ago

Michuzi

Taasisi ya Farida Foundation yawawezesha wanafunzi wenye mtindio wa ubongo shule ya msingi Tabata jijini Dar

Mwenyekiti wa Taasisi ya Farida Foundation,Bi. Farida Abdul Sekimonyo (wa pili kulia) akikabidhi sehemu ya vitabu kwa mmoja wa Mwanafunzi mwenye mtindio wa Ubongo wanaosoma Shule ya Msingi Tabata jijini Dar.Farida Foundation imetoa vifaa mbali mbali vya kusomea kwa watoto hao wenye mtindio wa Ubongo waliopo kwenye Shule hiyo.Taasisi hiyo ya Farida Foundation imekuwa ikisaidia Walemavu wa aina zote watoto, vijana na watu wazima waliopo Tanzania nzima mpaka sasa imeshasaidia walemavu zaidi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani