Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KILLY - RUDI

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo5

New Music: Killy — Usiwaze

Wimbo mpya kutoka kwa Msanii Killy unaitwa “Usiwaze” Producer Manecky

 

5 years ago

Michuzi

ALI KIBA: KILLY, CHEED WALINIAMSHA USIKU KUNIAGA WANAONDOKA

Na Bakari Madjeshi, Michuzi TV

Msanii wa Bongo Fleva nchini, Ali Saleh Kiba amesema ameshangazwa na kitendo cha kuondoka kwa Wasanii waliokuwa kwenye Kundi lake la Kings Music Records, Ally Killy Omary ‘Killy’ na Rasheed ‘Cheed’, amesema hakutarajia kuondoka kwa Wasanii hao katika Kundi hilo.

Kupitia Kipindi cha Tunalinda View cha Clouds TV – Kupitia Mtandao wake wa Instagram wakati akiwa ‘Live’, Kiba amesema alizungumza na Wasanii hao kwa dakika tano tu, kabla yakuomba kung’atuka kwenye Kundi...

 

10 years ago

Vijimambo

ANKO TENGA, TAFADHARI RUDI, KAKA MALINZI AMEFELI

Na Saleh AllyUSISHANGAZWE nami kuamua kujaribu kumshawishi aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Chilla Tenga arejee tena ili kusaidia kuyatoa kwenye matope magurudumu ya shirikisho hilo.TFF imekwama, rais wake Jamal Emily Malinzi, amefeli na hali inaonyesha wazi kuwa tuendako kuna hatari zaidi ya kutumbukia kabisa shimoni.Kuna mengi ya kuonyesha kwamba Malinzi amefeli na kwa kuwa watu wanaona haya kuelezana ukweli, wanachukia kukosolewa, huenda kilichofanywa na TFF...

 

5 years ago

Michuzi

INNOCENT KALOGERIS :VIONGOZI WA UPINZANI ACHENI KUICHAFUA NCHI KIMATAIFA RUDI NYUMBANI TUZUNGUMZE


Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro Innocent Kalogeris amewataka Viongozi wa Vyama vya Upinzani nchini wanaozunguka ughaibuni Nchi mbalimbali wakiiachafua Nchi na Rais Magufuli warudi Nyumbani kwa ajili ya Majadiliano

Ameyasema Hayo wakati wa Hafla ya kuwapokea na kuwakabidhi Kadi rasmi madiwani wawili na wanachama Kadhaa wa Upinzani walioamua kurudi CCM wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu CCM Taifa Dr Bashiru Ally akiwa Morogoro Vijijini hafla imefanyika Ofisi za CCM Mkoa wa Morogoro Mtaa wa Saba...

 

5 years ago

Michuzi

Taasisi ya ShuleSoft inakuletea Rudi Shule na ShuleSoft

 Mkurugenzi Mkuu wa ShuleSoft, Ephraim Swilla akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kutambulisha wanafunzi, wamiliki wa shule pamoja na wazazi kurudi shule na shuleSoft ili kuendelea kutumia mifumo ya Kidijitali kujipatia elimu na kuendesha mifumo mbalimbali ya shule bila usumbufu.Mkurugenzi Mkuu wa ShuleSoft, Ephraim  Swilla akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo (June 26,2020) wakati akitambulisha kurudi shule na shuleSoft shule...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani