ANKO TENGA, TAFADHARI RUDI, KAKA MALINZI AMEFELI
Na Saleh AllyUSISHANGAZWE nami kuamua kujaribu kumshawishi aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Chilla Tenga arejee tena ili kusaidia kuyatoa kwenye matope magurudumu ya shirikisho hilo.TFF imekwama, rais wake Jamal Emily Malinzi, amefeli na hali inaonyesha wazi kuwa tuendako kuna hatari zaidi ya kutumbukia kabisa shimoni.Kuna mengi ya kuonyesha kwamba Malinzi amefeli na kwa kuwa watu wanaona haya kuelezana ukweli, wanachukia kukosolewa, huenda kilichofanywa na TFF...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jul
SAID EL MAAMRY: Awachambua Tenga, Malinzi
10 years ago
Michuzi30 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s72-c/Aa1.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s640/Aa1.jpg)
Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...
11 years ago
Michuzi24 Feb
Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga
![](https://2.bp.blogspot.com/-UVYPyQ-02Z4/Uwntlg7YtPI/AAAAAAACp4c/H4-evbCksrM/s1600/20140221_100321.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zesdCzfmPaI/UwntlSoUZjI/AAAAAAACp4g/jv48jcDs1LA/s1600/20140221_100343.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/B0nkfg_AUdI/default.jpg)
10 years ago
GPL18 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/B0nkfg_AUdI/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lihD20i2jrxvShZGVHRZWF7xooRU2PLGfm6M-vhjroeLFQsARpVPZIwtJGmZKR3hDpEvL2En-fVHVFZRkTTDOJ7*gMbzUe4A/tego56.jpg?width=650)
ANKO ANASWA GESTI NA MTOTO WA DADAKE
10 years ago
Bongo Movies11 May
Filamu ya “Anko Kiepe” Imeingia Leo Sokoni
Filamu kali na ya kusisimua ya Anko Kiepe imeingia sokono leo tarehe 11 na imesambazwa nchi nzima hivi karibuni akiongelea filamu hiyo mungozaji na mtunzi wa filamu hiyo Phelimon Lutwaza anasema kuwa ni kazi ya kipekee na anaonyesha uwezo wake kwa kufanya maajabu makubwa.
“Anko Kiepe inakuja kufanya mapinduzi makubwa katika tasnia ya filamu Bongo Movie nimefanya mambo makubwa sana katika sinema hii kiuigizaji shutingi na wasanii wameitendea haki sinema hii, pia nimeiongoza...