ANKO ANASWA GESTI NA MTOTO WA DADAKE

Gabriel Ng’osha Tap! Jamaa mmoja, mkazi wa Gongo la Mboto-Mzambarauni jijini Dar ambaye jina lake halikufahamika amewekewa mtego wa nguvu kisha kunaswa akiwa katika harakati za kutaka kujivinjari na binti wa miaka 14, ambaye ni mtoto wa dada yake wa tumbo moja (jina linahifadhiwa). Binti anayesadikiwa kurubuniwa na anko yake. MCHAPO KAMILI Kwa mujibu wa chanzo chetu, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
BABU ANASWA NA DENTI GESTI LAIVU!
11 years ago
GPL
NJEMBA ANASWA NA DENTI WA KIUME GESTI
11 years ago
GPL
MGOMBEA 2015 ANASWA NA DENTI GESTI
10 years ago
Vijimambo18 Mar
MCHUNGAJI ANASWA NA WANAWAKE WATATU GESTI WAKILA

OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers inaendelea! Wiki hii ilifanya kazi nyingine nzito, kumnasa Pastor John Paul Simon Rubanguka wa kanisa la kiroho la Maximum Deliverance lililopo Masaki, Dar ambaye alinaswa akichezewa utupu na wanawake watatu ambao ni kama waumini wake kwa sababu wote ni Wakristo.Pasta John Paul Simon Rubanguka wa kanisa la kiroho la Maximum Deliverance lililopo Masaki, Dar baada ya kunaswa na wanawake...
10 years ago
Vijimambo21 Dec
MWALIMU ANYONGA MTOTO WAKE GESTI MWILI HAWACHA KWENYE KORIDO LA HOSPITAL
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana ambapo
kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa geita Joseph Konyo amesema tayari wanamshikilia mtuhumiwa baada ya vipimo vya daktari kudhibitisha kuwa mtoto huyo kanyongwa.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio...
11 years ago
GPL
ANASWA AKIMTEKA MTOTO WA SHULE
10 years ago
GPL
ALIYETUHUMIWA MWIZI WA MTOTO ANASWA!
11 years ago
Habarileo24 May
Anaswa akibanika mikono ya mtoto
WAKATI jamii ya Watanzania ikipigwa butwaa na ukatili wa kutisha aliofanyiwa mtoto wa miaka minne kwa kufungiwa ndani ya boksi kwa miaka mitatu mjini Morogoro, ukatili mwingine wa kutisha dhidi ya watoto umeripotiwa mkoani Kagera. Katika mkoa huo, mganga wa kienyeji ametiwa mbaroni, akituhumiwa kumuua kwa kumnyonga, kumkata mikono na kumzika katika nyumba yake.
11 years ago
GPLMTOTO WA JACK CHAN ANASWA NA BANGI