Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHUNGAJI ANASWA NA WANAWAKE WATATU GESTI WAKILA

Pasta John Paul Simon Rubanguka akijaribu kujitetea.
OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers inaendelea! Wiki hii ilifanya kazi nyingine nzito, kumnasa Pastor John Paul Simon Rubanguka wa kanisa la kiroho la Maximum Deliverance lililopo Masaki, Dar ambaye alinaswa akichezewa utupu na wanawake watatu ambao ni kama waumini wake kwa sababu wote ni Wakristo.Pasta John Paul Simon Rubanguka wa kanisa la kiroho la Maximum Deliverance lililopo Masaki, Dar baada ya kunaswa na wanawake...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BABU ANASWA NA DENTI GESTI LAIVU!

Stori: WAANDISHI WETU
YELEUUUWI! Ile tabia ya wazee ya kupenda dogodogo imemtokea puani mzee aliyetajwa kwa jina moja la mzee Omari, ni Ijumaa pekee lenye ubavu wa kuripoti sinema hiyo ya bure. Mzee huyo alinaswa laivu akiwa gesti na denti wa shule moja ya sekondari jijini Dar (jina la denti na shule vinahifadhiwa kimaadili).
Tukio hilo la aibu lilijiri juzikati kwenye gesti moja iliyopo maeneo ya Kawe, Dar na kusababisha...

 

10 years ago

GPL

MGOMBEA 2015 ANASWA NA DENTI GESTI

Na waandishi wetu
HILI nalo janga! Mwanaume mmoja anayesemekana ni mfanyabiashara ambaye pia anatajwa kugombea udiwani wa kata moja iliyopo  Kinondoni jijini Dar es Salaam, aliyetajwa kwa jina moja la  mzee Beno amenaswa akiwa chumba cha gesti na denti wa chuo kimoja kilichopo Kibamba jijini Dar, Ijumaa ‘kubwa’ lina mkanda wote. Mzee Beno… ...

 

10 years ago

GPL

ANKO ANASWA GESTI NA MTOTO WA DADAKE

Gabriel Ng’osha Tap! Jamaa mmoja, mkazi wa Gongo la Mboto-Mzambarauni jijini Dar ambaye jina lake halikufahamika amewekewa mtego wa nguvu kisha kunaswa akiwa katika harakati za kutaka kujivinjari na binti wa miaka 14, ambaye ni mtoto wa dada yake wa tumbo moja (jina linahifadhiwa). Binti anayesadikiwa kurubuniwa na anko yake. MCHAPO KAMILI Kwa mujibu wa chanzo chetu, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo...

 

11 years ago

GPL

NJEMBA ANASWA NA DENTI WA KIUME GESTI

Stori: Richard Bukos na Issa Mnally
ISHARA za mwisho wa dunia? Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Zeb amekula kichapo na kuishia mikononi mwa polisi baada ya kunaswa katika nyumba ya kulala wageni (gesti) akiwa na dogo wa kiume aliyedaiwa kuwa ni denti wa sekondari. Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Zeb akiwa amepigw pingu baada ya kunaswa akiwa na mwanafunzi wa kiume gesti. Aibu hiyo ya karne ilijiri juzi Jumatatu kwenye...

 

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI NA SHEMEJIYE GESTI

MFANYABIASHARA maarufu wa simu za mikononi maeneo ya Kariakoo jijini Dar, aliyefahamika kwa jina moja la Devi, hivi karibuni alipatwa na soni ya aina yake baada ya kukutwa katika nyumba ya kulala wageni akiwa na mke wa rafiki yake wa karibu. Mfanyabiashara maarufu wa simu za mikononi maeneo ya Kariakoo jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Devi baada ya kufumaniwa na mke wa rafikiye. Mtoa habari makini aliliambia gazeti...

 

10 years ago

Habarileo

Mpwapwa wanawake wanalala watatu kitandani

IDARA ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za uhaba wa watumishi , wagonjwa hasa wajawazito kulala wawili hadi watatu katika kitanda kimoja.

 

10 years ago

StarTV

Wafungwa wakutwa wakila raha gerezani.

Polisi mjini Manila wamevamia gereza moja na kuushangaza umma wa Philippines baada ya kung’amua maisha ya anasa yanayoendelea ndani ya gereza hilo kwa kikundi cha baadhi ywa wafungwa wenye upendeleo wa kipekee.

Uvamizi huo umefanywa katika gereza hilo la Bilibid lenye wafungwa wengi nchini humo kufuatia taarifa kwamba mtandao wa dawa za kulevya nchini humo unafanya kazi katika gereza hilo kwa njia za panya.

Polisi nchini Phillipines

Baada ya uvamizi huo maafisa wa polisi walikuta...

 

11 years ago

Habarileo

Mashekhe wapigwa bomu wakila daku

WAKATI Waislamu wakiwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, watu wasiojulikana juzi walivamia nyumba ya Mkurugenzi wa Kanda ya Kaskazini wa Taasisi ya Kiislamu ya Answar Muslim Youth Centre, Shekhe Soud Ally Soud na kurusha kitu kinachodhaniwa kuwa bomu na kumjeruhi shekhe huyo na mgeni wake kutoka Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani