MCHUNGAJI ANASWA NA WANAWAKE WATATU GESTI WAKILA
Pasta John Paul Simon Rubanguka akijaribu kujitetea.
OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers inaendelea! Wiki hii ilifanya kazi nyingine nzito, kumnasa Pastor John Paul Simon Rubanguka wa kanisa la kiroho la Maximum Deliverance lililopo Masaki, Dar ambaye alinaswa akichezewa utupu na wanawake watatu ambao ni kama waumini wake kwa sababu wote ni Wakristo.Pasta John Paul Simon Rubanguka wa kanisa la kiroho la Maximum Deliverance lililopo Masaki, Dar baada ya kunaswa na wanawake...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl*BRfC0Z83nmsTZT48BAz1-lYvizr5KdWmfJtoCVLZ1nM8Y2iGLDhegQjKZRbtFs*tZ1*5C3oGaZ1FD4JN*2zRq/MZEE.jpg?width=650)
BABU ANASWA NA DENTI GESTI LAIVU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXOqOHdMQdjoQHsrmMpSccJ71DVzC7ZANfl04c8-Pnw7jiwCR3nl6Z8baBSOfoMHrdXG2thVuk7qDcd5MjFybfm/mgombea.jpg)
MGOMBEA 2015 ANASWA NA DENTI GESTI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lihD20i2jrxvShZGVHRZWF7xooRU2PLGfm6M-vhjroeLFQsARpVPZIwtJGmZKR3hDpEvL2En-fVHVFZRkTTDOJ7*gMbzUe4A/tego56.jpg?width=650)
ANKO ANASWA GESTI NA MTOTO WA DADAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKJXJ-TCDqkx44KPKjjTffer3doYeAaZljIQjdgHgrJ0p8FW*mYmRWT1z4IqLKKerecNJ8dyH3DszuENHHaWLXI/denti.jpg)
NJEMBA ANASWA NA DENTI WA KIUME GESTI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJWh0QdBBecC1ZEw83YEwg-P1ZhSbReqM-2AKNGAPArarzP78pZ0IauK58oq1Tmb4q0jyhpFVkvVdw37MeBUxXL/mkewamtu.jpg?width=650)
MFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI NA SHEMEJIYE GESTI
10 years ago
Habarileo28 Dec
Mpwapwa wanawake wanalala watatu kitandani
IDARA ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za uhaba wa watumishi , wagonjwa hasa wajawazito kulala wawili hadi watatu katika kitanda kimoja.
10 years ago
StarTV16 Dec
Wafungwa wakutwa wakila raha gerezani.
Polisi mjini Manila wamevamia gereza moja na kuushangaza umma wa Philippines baada ya kung’amua maisha ya anasa yanayoendelea ndani ya gereza hilo kwa kikundi cha baadhi ywa wafungwa wenye upendeleo wa kipekee.
Uvamizi huo umefanywa katika gereza hilo la Bilibid lenye wafungwa wengi nchini humo kufuatia taarifa kwamba mtandao wa dawa za kulevya nchini humo unafanya kazi katika gereza hilo kwa njia za panya.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/05/02/140502122905_philippine_police_cyber_crime_press_conference_512x288_afp_nocredit.jpg)
Baada ya uvamizi huo maafisa wa polisi walikuta...
11 years ago
Habarileo06 Jul
Mashekhe wapigwa bomu wakila daku
WAKATI Waislamu wakiwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, watu wasiojulikana juzi walivamia nyumba ya Mkurugenzi wa Kanda ya Kaskazini wa Taasisi ya Kiislamu ya Answar Muslim Youth Centre, Shekhe Soud Ally Soud na kurusha kitu kinachodhaniwa kuwa bomu na kumjeruhi shekhe huyo na mgeni wake kutoka Kenya.