Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TENGA, MALINZI WAZUNGUMZIA UCHAGUZI WA CAF, FIFA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga

 Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akimkabidhi zawadi Rais wa CAF, Issa Hayatou Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. Rais wa TFF, Jamal Malinzi (kushoto) akiwa na Rais wa CAF, Issa Hayatou na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF, Leodegar Tenga Makao Makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. --- Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemwahidi ushirikiano Rais waShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi. Ahadi hiyo imetolewa juzi (Februari 21 mwaka huu) makao makuu ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF: Uchaguzi wa FIFA uendelee mbele

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limendekeza uchaguzi wa urais wa shirikisho la soka duniani FIFA uendelee mbele kama ulivyopangwa.

 

11 years ago

Mwananchi

SAID EL MAAMRY: Awachambua Tenga, Malinzi

Unapotaja historia ya soka katika Tanzania, yatatajwa majina mbalimbali likiwamo la Said Hamad El Maamry, mmoja wa watu wenye historia ndefu katika soka ya Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi amemshukuru Rais wa CECAFA, Leodgar Tenga kwa kuipa Tanzania uenyeji wa mashindano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup) iliyomalizika jana kwa klabu ya Azam FC kutawazwa Mabingwa wapya wa michuano hiyo.
Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...

 

10 years ago

Vijimambo

ANKO TENGA, TAFADHARI RUDI, KAKA MALINZI AMEFELI

Na Saleh AllyUSISHANGAZWE nami kuamua kujaribu kumshawishi aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Chilla Tenga arejee tena ili kusaidia kuyatoa kwenye matope magurudumu ya shirikisho hilo.TFF imekwama, rais wake Jamal Emily Malinzi, amefeli na hali inaonyesha wazi kuwa tuendako kuna hatari zaidi ya kutumbukia kabisa shimoni.Kuna mengi ya kuonyesha kwamba Malinzi amefeli na kwa kuwa watu wanaona haya kuelezana ukweli, wanachukia kukosolewa, huenda kilichofanywa na TFF...

 

10 years ago

Election

CECAFA, TFF Hail Tenga for CAF Re


CECAFA, TFF Hail Tenga for CAF Re-Election
AllAfrica.com
THE Tanzania Football Federation (TFF) president Jamal Malinzi, has hailed his predecessor, Leodegar Tenga for retaining his seat in the Executive Committee of African Football Confederation (CAF). Malinzi also extended his congratulatory message to ...
TFF joyful as Tenga retains CAF position.IPPmedia

all 2

 

10 years ago

BBCSwahili

Leodgar Chila Tenga aula CAF.

Leodgar Tenga kwa amechaguliwa kuendelea kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF).

 

10 years ago

IPPmedia

TFF joyful as Tenga retains CAF position.


IPPmedia
TFF joyful as Tenga retains CAF position.
IPPmedia
The Tanzania Football Federation's president Jamal Malinzi has cordially congratulated president of the Council of East and Central Africa Football Association (CECAFA) Leodegar Tenga for retaining his seat in the executive committee of the Confederation ...
CECAFA, TFF hail Tenga for CAF re-electionDaily News

all 3

 

10 years ago

Michuzi

Tenga has retained to his seat in the Executive Committee of African Football Confederation (CAF)

The Council of East and Central Africa Football Association (CECAFA) Chairman Leodegar Tenga has retained his seat in the Executive Committee of African Football Confederation (CAF) during the continental Annual General Congress running in Cairo, Egypt April 6-7.
Tenga of Tanzania will now serve for another four year term as the regional boss at the CAF's decision making body. The CAF congress held every year started in Cairo on Monday and all the 54 African FA's including CECAFA's 12 are in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani