SHULE MBALIMBALI DAR KUSAIDIWA NA TAASISI YA SVF
Katibu Mkuu wa SVF, Leontine B. Rwechungura (wa pili kushoto) akizungumza jambo katika mkutano huo. Ofisa Elimu, Elimu ya Watu Wazima mkoa wa Dar, Benadetha…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VKQ7SWoGfws/UxWA1cDxofI/AAAAAAAFQ_4/TkHMpYEH97A/s72-c/IMG-20140228-WA0013.jpg)
Taasisi ya Farida Foundation yawawezesha wanafunzi wenye mtindio wa ubongo shule ya msingi Tabata jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-VKQ7SWoGfws/UxWA1cDxofI/AAAAAAAFQ_4/TkHMpYEH97A/s1600/IMG-20140228-WA0013.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U97L_la9wkw/VTp1lyFlwjI/AAAAAAAHS_w/hDaSZimVtx0/s72-c/55ebTanga-regional-commissioner-Chiku-Gallawa.jpg)
MATEMBEZI YA ASUBUHI KWA WATUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-U97L_la9wkw/VTp1lyFlwjI/AAAAAAAHS_w/hDaSZimVtx0/s1600/55ebTanga-regional-commissioner-Chiku-Gallawa.jpg)
Matembezi hayo yataanzia viwanja vya bwalo la polisi Mjini Dodoma na kufuata uelekeo wa barabara ya Bunge la Tanzania, Barabara ya Dodoma Inn, Mtaa wa Nyerere na kurudi viwanja vya Bwalo la Polisi ambapo ndio kituo cha mwisho. Matembezi hayo yataongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-63.jpg)
TAASISI NA KAMPUNI BINAFSI ZAOMBWA KUCHANGIA VIFAA MBALIMBALI KUPAMBANA NA CORONA.
Na Pamela Mollel, Arusha
Taasisi na makampuni binafsi wameaombwa kuchangia vifaa mbalimbali kwaajili ya kusaidia kupambana na ugonjwa wa Virusi vya Corona (Covid - 19)ambao hivi sasa unaleta mtikisiko wa kiuchumi
Aidha wataalam na makada wa afya zaidi ya 525 wamepewa mafunzo elekezi juu ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona
Rai hiyo imetolewa jana Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Hargeney Chitukuro wakati alipokuwa akifungua kikao kazi cha wataalam wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii katika...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
GEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Waziri Saada Mkuya wakati alipokutana na taasisi mbalimbali za fedha za kimataifa Washington DC
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya wa katikati akiwa pamoja na ujumbe kutoka Tanzania walipokutana na Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly walipokuwa wakijadiliana na kuangalia ni jinsi gani Tanzania imeweza kutekeleza sera za Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa CITI na Mkuu wa Afrika kwa kundi la sekta ya utumishiwa umma Bw. Peter M. Sullivan...
10 years ago
GPLGEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8NWk_FqiJrg/VPXKYgLjtLI/AAAAAAAHHUg/m4mLI2SSPvw/s72-c/DSC_0834.jpg)
Watu wenye Ulemavu wanakabiliwa na changamoto nyingi - SVF
Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na kusaidia watu wenye mahitaji maalum (SVF) limesema watu wenye ulemavu wako milioni 4.5 lakini wanakabiliwa na changamoto kutokana na mazingira wanayoishi.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Katibu Mkuu wa shirika hilo,Leontine Rwechungura amesema kutokana na kutambua mahitaji ya kundi la watu wenye ulemavu,wataanza kujenga miundombinu rafiki kwa wanafunzi katika shuke ya Sekondari,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X9CqCRVxncI/XkoKlmZc7dI/AAAAAAALdpw/8zxcDvP9Vq0Fv68vSgAOtolLwz5rfne_gCLcBGAsYHQ/s72-c/0e2b3d39-aae4-485a-b5d3-3966adc90707.jpg)
Taasisi ya Jangwani to Forest Movement yapanda miti 50 katika Shule mbili
Na Chalila Kibuda,Michuzi Globu.
Wanafunzi wakipata elimu ya utuzaji wa Mazingira ni hazina ya taifa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
Hayo aliyasema Mwasisi wa Jangwani to Forest Movement Verdiana Nsongo wakati wa upandaji wa miti katika Shule za Msingi za Msisiri na Kinondoni zilizopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Amesema kuwa misingi bora ya utunzaji mazingira ni kutoa elimu kwa wanafunzi kuanzia katika maeneo yao shule ambapo wanaoweza kwenda kutoa elimu katika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IiDdSNH8I0g/VazXGElt1NI/AAAAAAAAPoM/6ss8Af_zWAA/s72-c/20150720_093629.jpg)
TTCL YATOA BATI 100 KWA SHULE MBALIMBALI MKOANI NJOMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-IiDdSNH8I0g/VazXGElt1NI/AAAAAAAAPoM/6ss8Af_zWAA/s640/20150720_093629.jpg)
Akikabidhi bati hizo kwa niaba ya mkurugenzi kuu wa TTCL Tanzania, Kaimu mkurugenzi kanda ya nyanda za Juu kusini bwana James Mlaguzi amesema...