Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHULE MBALIMBALI DAR KUSAIDIWA NA TAASISI YA SVF

Katibu Mkuu wa SVF, Leontine B. Rwechungura (wa pili kushoto) akizungumza jambo katika mkutano huo. Ofisa Elimu, Elimu ya Watu Wazima mkoa wa Dar, Benadetha…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Taasisi ya Farida Foundation yawawezesha wanafunzi wenye mtindio wa ubongo shule ya msingi Tabata jijini Dar

Mwenyekiti wa Taasisi ya Farida Foundation,Bi. Farida Abdul Sekimonyo (wa pili kulia) akikabidhi sehemu ya vitabu kwa mmoja wa Mwanafunzi mwenye mtindio wa Ubongo wanaosoma Shule ya Msingi Tabata jijini Dar.Farida Foundation imetoa vifaa mbali mbali vya kusomea kwa watoto hao wenye mtindio wa Ubongo waliopo kwenye Shule hiyo.Taasisi hiyo ya Farida Foundation imekuwa ikisaidia Walemavu wa aina zote watoto, vijana na watu wazima waliopo Tanzania nzima mpaka sasa imeshasaidia walemavu zaidi...

 

10 years ago

Michuzi

MATEMBEZI YA ASUBUHI KWA WATUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI MKOANI DODOMA

Kesho siku ya Jumamosi tarehe 25 Aprili, 2015, kuanzia saa 12:00 hadi saa 2:00 asubuhi, kutakuwa na zoezi la matembezi ya miguu kwa watumishi wa taasisi mbalimbali Mkoani Dodoma.

Matembezi hayo yataanzia viwanja vya bwalo la polisi Mjini Dodoma na kufuata uelekeo wa barabara ya Bunge la Tanzania, Barabara ya Dodoma Inn, Mtaa wa Nyerere na kurudi viwanja vya Bwalo la Polisi ambapo ndio kituo cha mwisho. Matembezi hayo yataongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI NA KAMPUNI BINAFSI ZAOMBWA KUCHANGIA VIFAA MBALIMBALI KUPAMBANA NA CORONA.


Na Pamela Mollel, Arusha

Taasisi na makampuni binafsi wameaombwa kuchangia vifaa mbalimbali kwaajili ya kusaidia kupambana na ugonjwa wa Virusi vya Corona (Covid - 19)ambao hivi sasa unaleta mtikisiko wa kiuchumi

Aidha wataalam na makada wa afya zaidi ya 525 wamepewa mafunzo elekezi juu ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona

Rai hiyo imetolewa jana Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Hargeney Chitukuro wakati alipokuwa akifungua kikao kazi cha wataalam wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii katika...

 

10 years ago

Vijimambo

GEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA

Meneja masoko wa mfuko wa pensheni wa GEPF, Ndg Aloyce Ntukamazima akimkaribisha mkuu wa mkoa wa mbeya ndg Abbas kandoro katika semina maalumu iliyoandaliwa na mfuko huo kwa Maafisa utumishi wa ofisi mbalimbali za mkoa huo.Baadhi ya maafisa utumishi wa mkoa wa mbeya wakifuatilia kwa makini semina hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Hill view jijini mbeya .Mkuu wa mkoa wa Mbeya Ndg. Abbas Kandolo akitoa neno la ufunguzi wa semina hiyo. Kushoto kwake ni Meneja wa GEPF Mkoa wa mbeya Ndg Ramadhan...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Saada Mkuya wakati alipokutana na taasisi mbalimbali za fedha za kimataifa Washington DC

DSC_5115

Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum Mkuya wa katikati  akiwa pamoja na ujumbe  kutoka Tanzania walipokutana na Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly  walipokuwa wakijadiliana  na kuangalia ni jinsi gani Tanzania imeweza kutekeleza sera za  Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC.

DSC_5033

Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa CITI na Mkuu wa Afrika kwa kundi la sekta ya utumishiwa umma Bw. Peter M. Sullivan...

 

10 years ago

GPL

GEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA‏

Meneja masoko wa mfuko wa pensheni wa GEPF, Ndg Aloyce Ntukamazima akimkaribisha mkuu wa mkoa wa mbeya ndg Abbas kandoro katika semina maalumu iliyoandaliwa na mfuko huo kwa Maafisa utumishi wa ofisi mbalimbali za mkoa huo. Baadhi ya maafisa utumishi wa mkoa wa mbeya wakifuatilia kwa makini semina hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Hill view jijini mbeya .… ...

 

10 years ago

Michuzi

Watu wenye Ulemavu wanakabiliwa na changamoto nyingi - SVF

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii 
Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na kusaidia  watu wenye  mahitaji maalum (SVF) limesema watu wenye ulemavu wako milioni 4.5 lakini wanakabiliwa na changamoto kutokana na mazingira wanayoishi.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Katibu Mkuu wa shirika hilo,Leontine Rwechungura amesema kutokana na kutambua mahitaji ya kundi la watu wenye ulemavu,wataanza kujenga miundombinu rafiki kwa wanafunzi katika shuke ya Sekondari,...

 

5 years ago

Michuzi

Taasisi ya Jangwani to Forest Movement yapanda miti 50 katika Shule mbili


Na Chalila Kibuda,Michuzi Globu.

Wanafunzi wakipata elimu ya utuzaji wa Mazingira ni hazina ya taifa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Hayo aliyasema Mwasisi wa Jangwani to Forest Movement Verdiana Nsongo wakati wa upandaji wa miti katika Shule za Msingi za Msisiri na Kinondoni zilizopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa misingi bora ya utunzaji mazingira ni kutoa elimu kwa  wanafunzi kuanzia katika maeneo yao shule ambapo wanaoweza kwenda kutoa elimu katika...

 

10 years ago

Michuzi

TTCL YATOA BATI 100 KWA SHULE MBALIMBALI MKOANI NJOMBE

Naibu waziri wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto Dkt Shirika la mawasiliano la TTCL Tanzania limekabidhi jumla ya bati 100 zenye thamani ya shilingi Milioni mbili kwa Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Njombe Dokta Pindi Hazara Chana ambaye pia ni Naibu waziri wa maendeleo ya Jamii  Wanawake jinsia na watoto kwa ajili ya sekta ya elimu mkoani Njombe.
Akikabidhi bati hizo  kwa niaba ya mkurugenzi kuu wa TTCL Tanzania, Kaimu mkurugenzi kanda ya nyanda za Juu kusini bwana James Mlaguzi amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani