Dude kutoa elimu zaidi kwa wanafunzi
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, amesema yeye kama kioo cha jamii hana budi kutumia muda wake kuelimisha wanafunzi ili waweze kufanya vizuri katika masomo yao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Dude alisema amekuwa akiwahamasisha wanafunzi, kupitia zawadi kama madaftari, vitabu, viatu hata sare za shule.
“Kama unavyojua mtoto unapompatia zawadi na kumuahidi mambo mazuri, lazima atajitahidi, nitaendelea kutembelea shule mbalimbali kuhamasisha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Naibu Waziri aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bw. Cosmas Mwaisobwa (kulia) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majuku ya Bodi kwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela leo (Jumatano, Aprili 22, 2015) jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri alifanya ziara ya kikazi katika Bodi hiyo na kukutana na uongozi wa Bodi.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela (wa pili kulia)...
10 years ago
MichuziMh. Anne Kilango aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Qa740tZBaKI/VTf5IMKdl0I/AAAAAAABsf4/x4cy9STOuDw/s72-c/1.jpg)
Naibu Waziri Malecela aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qa740tZBaKI/VTf5IMKdl0I/AAAAAAABsf4/x4cy9STOuDw/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pOC4aThcwik/VTf5LdLo2XI/AAAAAAABsgA/6sbtb9l5mKo/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y2ti_Fe914Y/VTfgSg6O2KI/AAAAAAAHSnI/rlfqrsfo8Sw/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mhe Anne Kilango Malecela aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y2ti_Fe914Y/VTfgSg6O2KI/AAAAAAAHSnI/rlfqrsfo8Sw/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WmRflIEQQsk/VTfgSgZi3YI/AAAAAAAHSnM/Lm6xwzH5dCU/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ve0wVtFgBTE/VkQ7ZXe2QxI/AAAAAAAIFYQ/tCIHNCIUU08/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/77DaykjQvug/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f-rrw06VwGY/XntjW9AtcvI/AAAAAAALlAc/ITmSc2hIno4lK08iSUxlbSxUtcgpoxyIACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-25%2Bat%2B12.38.45%2BPM.jpeg)
Taasisi ya Shulesoft yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao, wanafunzi kusoma wakiwa nyumbani bila gharama
![](https://1.bp.blogspot.com/-f-rrw06VwGY/XntjW9AtcvI/AAAAAAALlAc/ITmSc2hIno4lK08iSUxlbSxUtcgpoxyIACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-25%2Bat%2B12.38.45%2BPM.jpeg)
Na Avila Kakingo, globu ya jamiiTAASISI isiyo ya kiserikali ya Shulesoft hapa nchini yaanza kutoa elimu kwanjia ya mtandao ili...
10 years ago
MichuziWADAU WA KILIMO WAITAKA ANSAF KUTOA ELIMU ZAIDI YA UHIFADHI MAZAO YA NAFAKA MIKOANI
Baadhi ya washiriki...
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...