WADAU WA KILIMO WAITAKA ANSAF KUTOA ELIMU ZAIDI YA UHIFADHI MAZAO YA NAFAKA MIKOANI
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, , Yamungu Kayandabila akionyesha mbegu za mahindi zilizohifadhiwa kwenye ghala aina ya Silo, wakati wa uzinduzi wa Jukwaa la wadau wa kusimamia upotevu wa nafaka baada ya kuvunwa. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, , Yamungu Kayandabila akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa Jukwaa la wadau wa kusimamia upotevu wa nafaka baada ya kuvunwa.
Baadhi ya washiriki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWADAU WA ELIMU WAITAKA SERIKALI KUPANDISHA WASTANI WA UFAULU
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Wakazi wa Kiromo waitaka Tasafa kutoa elimu ya ujasiriamali
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Wadau wa kilimo EAC walilia kuuza mazao nje ya nchi
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA MOROGORO AFUNGUA WARSHA YA UHIFADHI IKISHIRIKISHA TANAPA NA BAADHI YA WADAU WA UHIFADHI
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Ansaf yazindua jukwaa la kilimo
TAASISI isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na masuala ya kilimo (Ansaf) leo inatarajia kuzindua jukwaa la wadau watakaoangalia mazao ya mikunde na nafaka ili kuondoa changamo zinazowakabili wakulima. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Michuzi25 Jul
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J6LtlqHQsro/VkzUoFsO80I/AAAAAAAIGng/oIK2WtZC1bw/s72-c/20151117_164358.jpg)
UHIFADHI WA MISITU NA UZALISHAJI WA MAZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-J6LtlqHQsro/VkzUoFsO80I/AAAAAAAIGng/oIK2WtZC1bw/s640/20151117_164358.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-N1aDXy-T39U/VkzUobist-I/AAAAAAAIGnk/cXs2da-ebS0/s640/20151118_113644.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Jul
TASO KUTOA ELIMU KWA WANALINDI KUHUSU UBORESHAJI WA KILIMO
WANANCHI mkoani Lindi wanatarajiwa kuelimishwa njia bora na za kisasa za uvuvi, ufugaji na ukulima ili waweze kuboresha kipato chao na Taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakulima Tanzania(TASO) Engelbert Moyo wakati akiongea na waandishi wa habari.
Amesema kuwa wakati wa maonesho ya nanenane ambayo Kitaifa yanafanyika mkoani Lindi watajitahidi kuhakikisha wananchi wanajifunza teknolojia mpya za kilimo,...
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Agra yazindua teknolojia mpya ya uhifadhi mazao