Wakazi wa Kiromo waitaka Tasafa kutoa elimu ya ujasiriamali
Wananchi wa Kijiji cha Buma Kata ya Kiromo wilayani hapa, wameutaka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kuangalia uwezekano wa kutoa elimu ya ujasiriliamali ili waweze kuwa na miradi endelevu badala ya kusubiri kuwezeshwa na wafadhili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWADAU WA KILIMO WAITAKA ANSAF KUTOA ELIMU ZAIDI YA UHIFADHI MAZAO YA NAFAKA MIKOANI
Baadhi ya washiriki...
10 years ago
Habarileo31 Dec
Veta kutoa elimu ya ujasiriamali kwa vikundi
HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kuingia katika makubaliano na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Morogoro kwa ajili ya kutoa elimu ya mafunzo kwa vikundi vya wajasiriamali wadogo ili kujenga uwezo wa kuendesha shughuli zao kwa lengo la kuwaletea tija.
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAZINDUA MPANGO WA KUTOA ELIMU YA AFYA KWA WAKAZI WA DAR
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiongea wakati wa kuzindua mpango huo.
Serikali imezindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa umma katika Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na kuwapo kwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwa ni mwendelezo wa kuwafikia watu wengi katika ngazi ya mtaa.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizundua mpango wa elimu ya afya kwa...
5 years ago
MichuziSerikali yazindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa wakazi wa Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiongea wakati wa kuzindua mpango huo.
Serikali imezindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa umma katika Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na kuwapo kwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwa ni mwendelezo wa kuwafikia watu wengi katika ngazi ya mtaa.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizundua mpango wa elimu ya afya kwa umma kwa...
11 years ago
Habarileo12 Feb
Wakazi 200 Dar waitaka TANESCO ishushe bei ya umeme
UMOJA wa wakazi zaidi ya 200 wa Dar es Salaam wametoa siku kumi kwa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), pamoja na vyombo vingine vya maamuzi, kubatilisha maamuzi yake juu ya bei mpya ya umeme na irejeshwe bei iliyokuwepo.
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini
10 years ago
VijimamboWADAU WA ELIMU WAITAKA SERIKALI KUPANDISHA WASTANI WA UFAULU
11 years ago
GPLJAMES MWANG'AMBA AWAPA SOMO LA UJASIRIAMALI WAKAZI WA MWANZA
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Ataka elimu ya ujasiriamali wa vikundi
SERIKALI imetakiwa kuvipa kipaumbele vikundi vya ujasiriamali ikiwa na pamoja na kuwapatia elimu ya mafunzo mara kwa mara. Ushauri huo ulitolewa na Mwalimu wa Vikoba, Rukia Mwinyi wakati wa mafunzo ya wajasiliamali...