Ataka elimu ya ujasiriamali wa vikundi
SERIKALI imetakiwa kuvipa kipaumbele vikundi vya ujasiriamali ikiwa na pamoja na kuwapatia elimu ya mafunzo mara kwa mara. Ushauri huo ulitolewa na Mwalimu wa Vikoba, Rukia Mwinyi wakati wa mafunzo ya wajasiliamali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Dec
Veta kutoa elimu ya ujasiriamali kwa vikundi
HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kuingia katika makubaliano na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Morogoro kwa ajili ya kutoa elimu ya mafunzo kwa vikundi vya wajasiriamali wadogo ili kujenga uwezo wa kuendesha shughuli zao kwa lengo la kuwaletea tija.
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Koka asaidia vikundi vya ujasiriamali
MBUNGE wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka, ametumia zaidi ya sh milioni 150 kuwezesha vikundi vya ujasiriamali vilivyopo katika jimbo lake, ikiwa ni pamoja na vikundi vya wanawake na vijana. Koka...
10 years ago
Mwananchi19 Nov
UJASIRIAMALI: Mitaji midogo kikwazo kwa vikundi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9KDhEYwjuE8/VgUJF5skOJI/AAAAAAAH7Gg/usYXAz9p9eg/s72-c/IMG_1284%2B%2528800x446%2529.jpg)
DKT FENELLA MUKANGARA AKUTANA NA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI NA KUNADI SERA ZAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9KDhEYwjuE8/VgUJF5skOJI/AAAAAAAH7Gg/usYXAz9p9eg/s640/IMG_1284%2B%2528800x446%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lwn7GV-MH6A/VgUJFxKZSnI/AAAAAAAH7Gk/20jPMq3hLT0/s640/IMG_1394%2B%2528600x334%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Vikundi vya ushindi ‘TeamMagufuli’ Mkoani Singida vyatakiwa kujikita kwenye ujasiriamali!
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida Martin Lissu akizungumza kwenye hafla maalumu ya kuwapongeza wana-CCM waliojitolea bila malipo wakati wa uchaguzi mkuu, wakijulikana kwa jina la ‘Team Magufuli ’ na kufanikiwa kutetea majimbo saba ya CCM wakati wa uchaguzi mkuu uliomalizika Oktoba 25 mwaka huu na John Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .(PICHA NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo
[SINGIDA] Vikundi vilivyoanzishwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu kwa lengo...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana-2
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Wanawake 600 kupewa elimu ya ujasiriamali
ZAIDI ya wanawake 600 mkoani Mwanza, wanatarajiwa kupata elimu juu ya ujasiriamali, usimamizi wa fedha, uwekaji akiba pamoja na mafunzo ya afya bora katika viwanja vya Mwaloni Kirumba Septemba 4...