Wadau wa kilimo EAC walilia kuuza mazao nje ya nchi
Wadau wa kilimo katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wamesema moja ya sababu inayokwaza sekta hiyo kupata maendeleo ni wakulima kuzuiwa kuuza mazao nje ya nchi zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWADAU WA KILIMO WAITAKA ANSAF KUTOA ELIMU ZAIDI YA UHIFADHI MAZAO YA NAFAKA MIKOANI
Baadhi ya washiriki...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2FiiBRag-jg/Xn7vD8puiZI/AAAAAAALlXI/XYoSohMRpes1jAHh3787DDqgFGhb_DwEQCLcBGAsYHQ/s72-c/10238663-ethanol-pure-concentrated-ethyl-alcohol-in-bottle.jpg)
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA UFAFANUZI JUU YA UPATIKANAJI WA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA NCHI
Akitoa ufafanuzi huo, Mwanasheria wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana George Mandepo (Pichani) alisema kuwa vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, hutolewa bila gharama na kuongeza kuwa biashara hiyo inaweza kufanywa na mtu yeyote, kinachotakiwa ni mhusika kuzingatia sheria na...
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Wadau: Dk. Magufuli afute matibabu ya vigogo nje ya nchi
KASI ya kubadili mfumo wa utendaji serikalini aliyoanza nayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanza
Mwandishi Wetu
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Wananchi walilia mradi wa kilimo cha mpunga
9 years ago
StarTV04 Sep
Wadau walilia ukiukwaji wa sheria
Wakati Serikali ikieleza nia ya kuhakikisha wananchi wanamiliki ardhi kwa kulegeza masharti ya umiliki, baadhi yao wanadai kuwa bado kuna ukiukwaji mkubwa wa sheria na masharti hayo hayajalegezwa hali inayoendelea kuwaathiri wengi.
Wameitaka Serikali kuhakikisha uwepo wa ardhi ya kutosha kwa ajili ya wazawa kabla ya kuigawa kwa wawekezaji ili nao waweze kufaidika na rasilimali hiyo nyeti.
Miongoni mwa wananchi waliozungumza na Star Tv kwenye tamasha la wanawake, linalofanyika kwenye viwanja...
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Kagame, Kenyatta ‘walilia’ ajira EAC
5 years ago
Michuzi24 Apr
WIZARA YA KILIMO KUSHIRIKIANA NA SUA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAZAO
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/15cf33f3-3818-4b4d-8d3e-833ea75fd766.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiongea wakati akikagua shamba darasa la zao la chai alipotembelea Chuo Kikuu cha Sokoine leo mjini Morogoro.Kulia kwake ni Dkt.Kudra Abdul Mkuu wa Idara ya Mimea Vipande na Kilimo cha Bustani.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_1316-1.jpg)
atibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche wa nanasi wakati alipokagua shamba darasa la kufundishia wanafunzi chuo Kikuu cha Sokoine leo mjini Morogoro.Kushoto ni Bw.Ramadhani Omari Mhadhiri wa mafunzo ya bustani na wa kwanza kulia ni...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wakulima wapongezwa kwa kupanua kilimo cha mazao ya chakula
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika kijiji cha Mtinko jimbo la Singida kaskazini.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amewapongeza wakulima kwa kuongeza juhudi ya kupanua kilimo cha mazao ya chakula na biashara msimu huu ikilinganishwa na misimu iliyopita.
Dk.Kone ametoa pongezi hizo wakati akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika...