Wadau walilia ukiukwaji wa sheria
Wakati Serikali ikieleza nia ya kuhakikisha wananchi wanamiliki ardhi kwa kulegeza masharti ya umiliki, baadhi yao wanadai kuwa bado kuna ukiukwaji mkubwa wa sheria na masharti hayo hayajalegezwa hali inayoendelea kuwaathiri wengi.
Wameitaka Serikali kuhakikisha uwepo wa ardhi ya kutosha kwa ajili ya wazawa kabla ya kuigawa kwa wawekezaji ili nao waweze kufaidika na rasilimali hiyo nyeti.
Miongoni mwa wananchi waliozungumza na Star Tv kwenye tamasha la wanawake, linalofanyika kwenye viwanja...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV07 Oct
Mamlaka ya PPRA yabaini ukiukwaji wa sheria
Mamlaka ya kudhibiti Manunuzi ya Umma (PPRA) imezifungia kampuni 7 pamoja na wakurugenzi wake kutoshiriki zabuni za umma kutokana na ukiukwaji wa sheria ya manunuzi.
Adhabu hiyo imekuja baada ya uchunguzi wa PPRA iliyobaini viashiria vya rushwa kwenye manunuzi ya umma kwa kampuni na taasisi mbalimbali za Serikali tatizo ambalo limedaiwa kuonekana kuwa sugu hali inayoathiri uchumi wa Taifa.
Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Matern Lumbanga amesisitiza juu ya kufungiwa kwa kampuni SABA...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Wadau wa kilimo EAC walilia kuuza mazao nje ya nchi
10 years ago
Habarileo23 Oct
Wadau waanza kutoa maoni marekebisho ya sheria 33
KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, imeshaanza kukutana na wadau katika kupata maoni kufuatia Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa mwaka 2014, unaopendekeza kuzifanyia marekebisho sheria 33. Muswada huo utawasilishwa katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza Novemba 4, mwaka huu mjini Dodoma.
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
Wadau wajadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania
Muwakilishi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Mgaya Ezekiel akichangia wakati wa Semina ya kujadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania wa mwaka 2015, utakaowasilishwa Bungeni Ijumaa ya tarehe 27/03/2015. Semina hii iliyofanyika tarehe 23-24/03/2015 katika ukumbi wa Pius Msekwa, Mjini Dodoma imewakutanisha Wadau, Kamati ya Maendeleo ya Jamii na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara(kulia) akifurahia...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/leU9J-pZysQ/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/leU9J-pZysQ/default.jpg)
10 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDESHA MAFUNZO KWA TAASISI WADAU WA USIMAMIZI WA SHERIA
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Wadau wa sekta ya Bima nchini waaswa kushirikiana na TRA kutekeleza sheria mpya ya kodi
Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lusekelo Mwaseba akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua semina ya wadau wa bima kuhusu sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ambayo imeanza kutumika Julai Mosi mwaka huu.(Picha na Eleuteri Mangi- MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wadau wa sekta ya Bima nchini wameaswa kushirikiana na Serikali kutekeleza sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ili waweze kutoa huduma kwa jamii yenye tija kwa wakati na kulipa kodi stahiki.
Kauli...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GviAnjENjFk/VVRqmRK1qCI/AAAAAAAHXPU/N5CkP_oYFO4/s72-c/1c.jpg)
TRA yakutanisha Wadau kujadili Sheria Mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 kabla ya kuanza kutumika
![](http://4.bp.blogspot.com/-GviAnjENjFk/VVRqmRK1qCI/AAAAAAAHXPU/N5CkP_oYFO4/s640/1c.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOafxS7oyMQ/VVRqnKy9ggI/AAAAAAAHXPc/431dQXQdqC8/s640/2.jpg)