Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAPE AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUSHIRIKISHWA WADAU WA HABARI WAKATI WA KUTUNGA SHERIA


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Masele aeleza umuhimu wa sayansi Afrika, ataka vijana kushirikishwa katika maamuzi

Na Asteria Muhozya, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Stephen Masele amesema kuwa bara la Afrika linahitaji taaluma ya sayansi kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi. Masele ameyasema hayo jijini Dare es Salaam wakati akifunga Mkutano wa Tatu wa Vijana Wanasayansi Duniani (YES), na kuongeza kuwa, Afrika inahitaji sayansi kwa ajili ya kufanya ugunduzi na tafiti ambazo zitachangia katika kuchochea maendeleo barani Afrika. Aliongeza...

 

10 years ago

Michuzi

BUNGE LAANDAA SEMINA MAALUMU KUHUSU UMUHIMU WA KUWA NA MPANGO MKAKATI WA MAWASILIANO NA NAMNA BORA YA KUPOKEA MAONI YA WADAU WAKATI WA KAMATI ZAKE

  Mkurugennzi msaidizi katika Idara ya Kamati kutoka Ofisi ya Bunge Ndg. Angumbwike Ng'wavi akitoa Mada kuhusu umuhimu kuwa na taarifa za  pamoja za kibunge kwa ajili ya wadau mbalimbali wa Bunge  na namna ya utekelezaji wake wakati wa Semina ya kuwajengea uwezo wadau wa Bunge kutoka Serikarini na taasisi binafisi. Semina hiyo imeandaliwa na Bunge kupitia mradi wake wa kuwajengea Wabunge na Watumishi uwezo unaofadhiliwa na UNDP.  Maafisa wa Serikali pamoja na Wadau mbalimbali wa Bunge...

 

10 years ago

Habarileo

Washauriwa kutunga sheria kudhibiti uchafu

MKUU wa Wilaya ya Ilemela, Manju Msambya ameshauri Halmashauri ya Manispaa kutunga sheria ndogo ya kuzuia utupaji ovyo wa mifuko ya rambo, ili kurejesha hadhi ya usafi kwenye manispaa hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rujewa watakiwa kutunga sheria ya uchafuzi wa maji

BARAZA la Mamlaka ya mji mdogo wa Rujewa, jijini Mbeya limetakiwa kutunga sheria ndogo za kuwadhibiti wakazi wa eneo hilo wanaofanya uchafuzi katika mito na mifereji ya maji  iliyopo katika...

 

9 years ago

Raia Mwema

Naona kwamba sasa inabidi kutunga sheria nyingine ya Makosa ya Jukwaa

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

10 years ago

Dewji Blog

Nyalandu asaka wadhimini Zanzibar azungumzia umuhimu wa Muungano

DSC_0484

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazro Nyalandu akiongea na waandishi mjini Zanzibar leo wakati wa kutafuta wadhamini ili aweze kugombea Urais kwa tiketi ya CCM, Pembeni kulia ni mkewe Faraja Nyalandu na kushoto Bi.Khadija.

DSC_0495

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MAGUFULI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUGEUKIA TIBA ASILI KUKABILIANA NA MAGONJWA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka wananchi kutodharau matumizi ya dawa za kienyeji hasa katika kukabiliana na maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa mlipuko wa Corona (Covid-19.)
Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami katika mji wa kiserikali Mtumba, Magufuli amesema kuwa  wengi wamekuwa wakidharau matumizi ya dawa za kienyeji kwa kile kinachoelezwa kuwa zimepitwa na wakati huku zikiwa zimeonesha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Nape azungumzia midahalo inayoendelea

1

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) na ambapo alisema kitendo cha Tume ya Katiba kukishambulia na kukisakama Chama Cha Mapinduzi haikuwa sawa na hakitovumilika, aliendelea kusema kuwa utaratibu huu wa baadhi ya wajumbe wa tume kumkejeli Mwenyekiti wa CCM Taifa hauvumiliki na haukubaliki hata kidogo.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani