DKT. MAGUFULI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUGEUKIA TIBA ASILI KUKABILIANA NA MAGONJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WDg2VtTGa3U/XuJdbr38RjI/AAAAAAALtfI/mofgfKxX2NsZCw_cwhVvne_7y35ciTvnwCLcBGAsYHQ/s72-c/12.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka wananchi kutodharau matumizi ya dawa za kienyeji hasa katika kukabiliana na maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa mlipuko wa Corona (Covid-19.)
Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami katika mji wa kiserikali Mtumba, Magufuli amesema kuwa wengi wamekuwa wakidharau matumizi ya dawa za kienyeji kwa kile kinachoelezwa kuwa zimepitwa na wakati huku zikiwa zimeonesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JnyO4VJGWtc/XuONfpz0sOI/AAAAAAALtm4/nHBp8Oic400PEF57KVSR2jUagtjyatWVQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
WITO WATOLEWA WANANCHI KUENDELEA NA TIBA ASILI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JnyO4VJGWtc/XuONfpz0sOI/AAAAAAALtm4/nHBp8Oic400PEF57KVSR2jUagtjyatWVQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lRnJtSyQ5rs/XuONfmigqcI/AAAAAAALtm8/y0-xWswjbkkKuGOVwpphBjoH912f_XD9gCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TsZTQ5rKm_s/Xkyz7QMVsZI/AAAAAAALeHQ/L-fxwlSAqwcUXmwWm7oSriqBFnSToHHIgCLcBGAsYHQ/s72-c/12c55a4f-2716-4cf1-8e19-fb448b0a07fd.jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI/MBADALA FUATENI SHERIA-DKT. CHAULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TsZTQ5rKm_s/Xkyz7QMVsZI/AAAAAAALeHQ/L-fxwlSAqwcUXmwWm7oSriqBFnSToHHIgCLcBGAsYHQ/s640/12c55a4f-2716-4cf1-8e19-fb448b0a07fd.jpg)
Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akiongea na waandishi wa habari
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/fdf12bf4-618a-4d2b-a4f6-0007379db1c1-1024x683.jpg)
Wanafunzi wa sekondari walioshiriki kongamano la wajasiriamali na upimaji wa afya
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ce204ffd-565e-449b-8019-5c2b4aefcba4-1024x683.jpg)
Watoto wakimsikiliza Katibu Mkuu(hayupo pichani)
……………………………………..
Na.Catherine Sungura, Chato
Waganja wa Tiba asili na tiba mbadala wote nchini, wametakiwa kufanya kazi zao kwa kufuata Sheria, kanuni, taratibu zilizowekwa na Serikali .
Hayo yamesemwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jf5l3s9gfc0/VgAqfP3Ea3I/AAAAAAAH6jg/VUTKc07X9Io/s72-c/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA SABA WA KIMATAFA KUHUSU NAMNA YA KUZUWIA MAGONJWA YA ASILI NA ULEMAVU KATIKA NCH ZINAZOLEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jf5l3s9gfc0/VgAqfP3Ea3I/AAAAAAAH6jg/VUTKc07X9Io/s640/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5aYOqJds7G0/VgAqi6JkREI/AAAAAAAH6jo/fbCCQBe0Dwc/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Jun
DKT. BILAL AZINDUA KITUO CHA TIBA, UCHUNGUZI NA MAFUNZO YA MAGONJWA YA SARATANI, MATUMBO NA INI UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI CHAFUNGULIWA MUHIMBILI
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
11 years ago
Mwananchi31 Jan
TIBA MBADALA: Kunywa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi
11 years ago
Dewji Blog31 May
Dkt. Bilal afungua kituo cha tiba, uchunguzi na mafunzo ya magonjwa na saratani za matumbo na Ini cha hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, jana Mei 30, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya...
9 years ago
Michuzi24 Dec
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
TEWUTA wampongeza Rais Dk. Magufuli, wamuomba kugeukia mashirika ya mawasiliano ya Serikalini
Katibu mkuu wa TEWUTA, Junus Ndaro (katikati) alkizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa TEWUTA, Pius Makuke, kushoto ni afisa kutoka chama hicho. (Picha na Rabi Hume)
Na Rabi Hume
[DAR ES SALAAM] Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa Mawasiliano Tanzania (TEWUTA), kimemtaka rais wa Tanzania, Dr. John Magufuli kuyasaidia mashirika ya mawasiliano yaliyo chini ya seikali kutokana na mashirika hayo kuwa na hali...