WITO WATOLEWA WANANCHI KUENDELEA NA TIBA ASILI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JnyO4VJGWtc/XuONfpz0sOI/AAAAAAALtm4/nHBp8Oic400PEF57KVSR2jUagtjyatWVQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi (kushoto) akizungumza na wananchi waliofika katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma kupata huduma ambapo amezungumza nao kuendelae kujilinda na ugonjwa wa corona kwa mbinu zinatotolewa na Wizara ya Afya ikiwemo tiba asili ya kujifukiza.
Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi akizunguma na watumishi wa Hospitali ya Benjamin Mkapa alipotembelea hospitlai hiyo, Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt. Alphonce...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WDg2VtTGa3U/XuJdbr38RjI/AAAAAAALtfI/mofgfKxX2NsZCw_cwhVvne_7y35ciTvnwCLcBGAsYHQ/s72-c/12.jpg)
DKT. MAGUFULI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUGEUKIA TIBA ASILI KUKABILIANA NA MAGONJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WDg2VtTGa3U/XuJdbr38RjI/AAAAAAALtfI/mofgfKxX2NsZCw_cwhVvne_7y35ciTvnwCLcBGAsYHQ/s400/12.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka wananchi kutodharau matumizi ya dawa za kienyeji hasa katika kukabiliana na maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa mlipuko wa Corona (Covid-19.)
Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami katika mji wa kiserikali Mtumba, Magufuli amesema kuwa wengi wamekuwa wakidharau matumizi ya dawa za kienyeji kwa kile kinachoelezwa kuwa zimepitwa na wakati huku zikiwa zimeonesha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rZJFCoxsCpU/XrEfJarwXkI/AAAAAAALpME/Y93qgeg-c9ElYHeFLz9ehQyZnonTU1idgCLcBGAsYHQ/s72-c/2AAA-768x345.jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI WAPATA MAFUNZO KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZJFCoxsCpU/XrEfJarwXkI/AAAAAAALpME/Y93qgeg-c9ElYHeFLz9ehQyZnonTU1idgCLcBGAsYHQ/s640/2AAA-768x345.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3AA-1024x461.jpg)
Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya tiba asili na tiba mbadala wa wilaya ya Tunduru Mohamed Nandule akiongea na waganga wa tiba asili na tiba mbadala kutoka kata ya Mbesa wilayani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mlGun7W10OY/XozCcOKnZsI/AAAAAAALmbI/dD9p6eLMtIQFRAJ6BArPMAeqLL5s5lXgACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0304-2048x1369.jpg)
RC Wangabo awataka Waganga wa tiba asili na machifu wa Mkoa kuwa mfano katika mapambano dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-mlGun7W10OY/XozCcOKnZsI/AAAAAAALmbI/dD9p6eLMtIQFRAJ6BArPMAeqLL5s5lXgACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0304-2048x1369.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akitoa maagizo kwa Machifu na Waganga wa Tiba asili wa mkoa wa Rukwa (hawapo pichani) katika kikao kifupi alichokutana nao ili kuwaelimisha juu ya ugonjwa wa Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0341-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0336-scaled.jpg)
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Wito watolewa washia wajihami Iraq
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Wito watolewa Congo ichunguze makaburi
10 years ago
GPLBARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wito watolewa silaha zisiuzwe Sudan Kusini
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Wito watolewa wazazi kuwajengea maadili mema watoto
Diwani wa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi,Stephano Misai,akizungumza kwenye mahafali ya kwanza ya darasa la saba shule ya msingi Unyahati iliyopo kijiji cha Muungano .Mgeni rasmi huyo amezitaka shule za msingi na sekondari zenye bahati ya kuwa karibu na huduma ya umeme, kuweka nishati hiyo kwa ajili ya wanafunzi kujifunza kompyuta. Wa kwanza kushoto (aliyekaa) ni Chiku Alli raia wa Norway aliyekusanya fedha kutoka kwa raia wa Norway na kugharamia ujenzi wa shule ya Unyahati. Kulia ni...