Wito watolewa washia wajihami Iraq
Kiongozi wa washia ametoa wito kwa wananchi kujihami tayari kwa vita dhidi ya wapiganaji wa kisuni wanaoendelea kuteka miji zaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 May
Wapiganaji washia waelekea Ramadi, Iraq
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Wito watolewa Congo ichunguze makaburi
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wito watolewa silaha zisiuzwe Sudan Kusini
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Wito watolewa wazazi kuwajengea maadili mema watoto
Diwani wa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi,Stephano Misai,akizungumza kwenye mahafali ya kwanza ya darasa la saba shule ya msingi Unyahati iliyopo kijiji cha Muungano .Mgeni rasmi huyo amezitaka shule za msingi na sekondari zenye bahati ya kuwa karibu na huduma ya umeme, kuweka nishati hiyo kwa ajili ya wanafunzi kujifunza kompyuta. Wa kwanza kushoto (aliyekaa) ni Chiku Alli raia wa Norway aliyekusanya fedha kutoka kwa raia wa Norway na kugharamia ujenzi wa shule ya Unyahati. Kulia ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JnyO4VJGWtc/XuONfpz0sOI/AAAAAAALtm4/nHBp8Oic400PEF57KVSR2jUagtjyatWVQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
WITO WATOLEWA WANANCHI KUENDELEA NA TIBA ASILI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JnyO4VJGWtc/XuONfpz0sOI/AAAAAAALtm4/nHBp8Oic400PEF57KVSR2jUagtjyatWVQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lRnJtSyQ5rs/XuONfmigqcI/AAAAAAALtm8/y0-xWswjbkkKuGOVwpphBjoH912f_XD9gCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Xu5Xg-4Fdh8/VAWTHnh2cSI/AAAAAAAGbI0/8AcKgHs4bto/s72-c/4.jpg)
WITO WATOLEWA KWA JAMII KUTOPUUZA TAARIFA ZINAZOTOLEWA NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NCHINI
Wito huo umetolewa leo na Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, wakati akifungua warsha ya siku mbili kwa wanahabari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Hali hewa nchini (TMA).
Bendera ametoa wito huo siku mbili kabla ya TMA kutoa utabili wake wa hali ya hewa wa msimu wa Oktoba mpaka Desemba mwaka huu. Bendera alisema kuwa TMA imekuwa...
9 years ago
MichuziWITO WATOLEWA NA MISS TANZANIA 2013/2014 KWA WAKINA MAMA KUJITOKEZA KUFANYA UCHUNGUZI WA SARATANI YA KIZAZI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s72-c/IMG-20150704-WA0030.jpg)
WITO WATOLEWA KWA WATANZANIA KUJITOLEA KUWASAIDIA WATU WENYE UHITAJI IKIWEMO WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s640/IMG-20150704-WA0030.jpg)
Baadhi ya wanalyalamo wakijumuika na watoto wa Kituo cha Yatima Group Trust Fund..
![](http://4.bp.blogspot.com/-rIjY5UMGz4Q/VZk0Ql0QpiI/AAAAAAAC8RE/iu5Ygu8kW2c/s640/IMG-20150704-WA0034.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53mDpuylgNc/VZk0b3nplLI/AAAAAAAC8RM/o0tnve-XN1s/s640/IMG-20150704-WA0037.jpg)
baadhi ya wanalyamo family katika picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Winfrida Lubanza(mwenye miwani na blauzi nyeusi)
WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali usaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali. Wito huo umetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam,...
10 years ago
Habarileo11 Apr
Tanesco,vyuo vikuu wajihami na ugaidi
KUSAMBAA kwa taarifa za uwezekano wa kutokea kwa shambulio la kigaidi katika miji ya Tanzania, ikiwemo Dar es Salaam na Mwanza, kumesababisha baadhi ya taasisi muhimu kama vyuo vikuu na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kuchukua hatua za kujihami.