Wito watolewa Congo ichunguze makaburi
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imetakiwa kuchunguza eneo la makaburi linalodaiwa kuzikwa mamia ya watu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Wito watolewa washia wajihami Iraq
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wito watolewa silaha zisiuzwe Sudan Kusini
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Wito watolewa wazazi kuwajengea maadili mema watoto
Diwani wa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi,Stephano Misai,akizungumza kwenye mahafali ya kwanza ya darasa la saba shule ya msingi Unyahati iliyopo kijiji cha Muungano .Mgeni rasmi huyo amezitaka shule za msingi na sekondari zenye bahati ya kuwa karibu na huduma ya umeme, kuweka nishati hiyo kwa ajili ya wanafunzi kujifunza kompyuta. Wa kwanza kushoto (aliyekaa) ni Chiku Alli raia wa Norway aliyekusanya fedha kutoka kwa raia wa Norway na kugharamia ujenzi wa shule ya Unyahati. Kulia ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JnyO4VJGWtc/XuONfpz0sOI/AAAAAAALtm4/nHBp8Oic400PEF57KVSR2jUagtjyatWVQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
WITO WATOLEWA WANANCHI KUENDELEA NA TIBA ASILI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JnyO4VJGWtc/XuONfpz0sOI/AAAAAAALtm4/nHBp8Oic400PEF57KVSR2jUagtjyatWVQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lRnJtSyQ5rs/XuONfmigqcI/AAAAAAALtm8/y0-xWswjbkkKuGOVwpphBjoH912f_XD9gCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Xu5Xg-4Fdh8/VAWTHnh2cSI/AAAAAAAGbI0/8AcKgHs4bto/s72-c/4.jpg)
WITO WATOLEWA KWA JAMII KUTOPUUZA TAARIFA ZINAZOTOLEWA NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NCHINI
Wito huo umetolewa leo na Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, wakati akifungua warsha ya siku mbili kwa wanahabari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Hali hewa nchini (TMA).
Bendera ametoa wito huo siku mbili kabla ya TMA kutoa utabili wake wa hali ya hewa wa msimu wa Oktoba mpaka Desemba mwaka huu. Bendera alisema kuwa TMA imekuwa...
9 years ago
MichuziWITO WATOLEWA NA MISS TANZANIA 2013/2014 KWA WAKINA MAMA KUJITOKEZA KUFANYA UCHUNGUZI WA SARATANI YA KIZAZI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s72-c/IMG-20150704-WA0030.jpg)
WITO WATOLEWA KWA WATANZANIA KUJITOLEA KUWASAIDIA WATU WENYE UHITAJI IKIWEMO WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s640/IMG-20150704-WA0030.jpg)
Baadhi ya wanalyalamo wakijumuika na watoto wa Kituo cha Yatima Group Trust Fund..
![](http://4.bp.blogspot.com/-rIjY5UMGz4Q/VZk0Ql0QpiI/AAAAAAAC8RE/iu5Ygu8kW2c/s640/IMG-20150704-WA0034.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53mDpuylgNc/VZk0b3nplLI/AAAAAAAC8RM/o0tnve-XN1s/s640/IMG-20150704-WA0037.jpg)
baadhi ya wanalyamo family katika picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Winfrida Lubanza(mwenye miwani na blauzi nyeusi)
WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali usaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali. Wito huo umetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam,...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
‘Serikali ichunguze watoto kutopelekwa shule’
SERIKALI imetakiwa kuacha kuwakamata wazazi ambao watoto wao wamefaulu kujiunga na kidato cha kwanza, lakini hadi sasa hawajaripoti na badala yake ichunguze kinachosababisha washindwe kuwapeleka shule. Akizungumza na Tanzania Daima...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
TFDA ichunguze ukweli kuhusu dawa hizi