Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFDA ichunguze ukweli kuhusu dawa hizi

Dunia hivi sasa inatikiswa na taarifa za kisayansi kwamba mojawapo ya dawa ya meno iliyopo kwenye soko ina kemikali aina ya triclosan ambayo ina sababisha ugonjwa wa saratani ambao kisayansi hadi hivi sasa hauna tiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Dawa hizi ni hatari kwa binadamu — TFDA

dawaOLIVER OSWALD NA ESTER MNYIKA, DAR ES SALAAM,
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA), imeziondoa sokoni na kuzifutia usajili aina tano za dawa zinazotumiwa na binadamu baada ya kugundulika kuwa zina madhara katika mwili wa binadamu.

Sambamba na hatua hiyo, pia imepiga marufuku uingizaji, usambazaji na matumizi ya dawa hizo.

Uamuzi huo ulitangazwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa TFDA, Hiiti Sillo, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwake Dar es Salaam.

Sillo alisema mamlaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Tupeni ukweli kuhusu dawa ya Truvada

Yapo matumaini makubwa ya kukabiliana na janga la Ukimwi kama wananchi watakubali kuwa mstari wa mbele kupambana na adui huyo mkubwa anayeingia nyumbani.

 

10 years ago

Mwananchi

TFDA yafuta usajili wa dawa zenye madhara

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imefuta usajili na kuzuia uingizaji na uuzaji wa dawa tano za binadamu baada ya kubainika kuwa na madhara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘TFDA itoe tamko dawa ya meno inayofaa’

MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) na Shirika la Viwango nchini (TBS) wametakiwa kufanya uchunguzi na kutoa tamko kuhusu dawa za meno zinazofaa. Rai hiyo ilitolewa  jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kwa ishara hizi umefika mwisho wa CCM kuwa madarakani

>Wahenga walisema, ‘kila kitu  chenye mwanzo pia kina mwisho wake.’ Usemi huu una ukweli ndani yake ingawa katika baadhi ya nyakati  unapuuzwa na watu hasa wenye upeo  mdogo wa kufikiri au wale waliochanganyikiwa.

 

10 years ago

Michuzi

TFDA YAFUTA USAJILI NA KUDHIBITI ZAIDI MATUMIZI YA BAADHI YA DAWA ZA BINADAMU NCHINI

 Pichani ni Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Bw. Hiiti Sillo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika mkutano na waandishi wa habari katika kueleza maamuzi ya TFDA kufuta usajili na kubadili matumizi ya baadhi ya dawa nchini. Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa TFDA Makao Mkuu
 Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imezifutia Usajili wa Dawa tano  za Binadamu kutokana na kuwepo makosa mbalimbali.         Hayo yameelewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi mkuu   TFDA Bwana Hiiti...

 

9 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA (TFDA) KUJIENDESHA KIDIGITALI KWA LENGO LA KUBORESHA UTENDAJI WAKE

MAMLAKA ya  Chakula na Dawa  nchini Tanzania, (TFDA)  kwa ushirikiano na Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA)  imezindua mfumo wa taarifa za kiutendaji,  e-portal ambayo itawezesha TFDA kuhudumia wateja wake  kwa mfumo wa kidigitali  kwa kutumia mtandao wa internet ambapo sasa huduma za TFDA zitatolewa  moja kwa moja kupitia mtandao wa internet hivyo kuleta  ufanisi zaidi .


Mfumo unaozinduliwa leo umegharim TFDA takriban Tsh. 300 Milion na kutoka Taasisi ya TMEA imetumia Dola za Marekani $...

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara, TFDA wavutana kuhusu kiwanda

>Wingu la utata umetanda kuhusu kufunguliwa kwa Maabara ya Kutengeneza Chanjo ya Ugonjwa wa Kuku wa Kideri baada ya Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) kueleza kuwa hakijakidhi kiwango huku Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ikieleza kuwa kina sifa ya kuanza uzalishaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga watafute dawa ya chokochoko hizi

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, mwishoni mwa wiki alitoa onyo akikemea chokochoko zinazoendelea chini kwa chini ndani ya klabu hiyo kongwe. Kwa mujibu wa Manji, ni chokochoko dhidi ya Mwenyekiti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani