Yanga watafute dawa ya chokochoko hizi
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, mwishoni mwa wiki alitoa onyo akikemea chokochoko zinazoendelea chini kwa chini ndani ya klabu hiyo kongwe. Kwa mujibu wa Manji, ni chokochoko dhidi ya Mwenyekiti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Dawa hizi ni hatari kwa binadamu — TFDA
OLIVER OSWALD NA ESTER MNYIKA, DAR ES SALAAM,
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA), imeziondoa sokoni na kuzifutia usajili aina tano za dawa zinazotumiwa na binadamu baada ya kugundulika kuwa zina madhara katika mwili wa binadamu.
Sambamba na hatua hiyo, pia imepiga marufuku uingizaji, usambazaji na matumizi ya dawa hizo.
Uamuzi huo ulitangazwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa TFDA, Hiiti Sillo, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwake Dar es Salaam.
Sillo alisema mamlaka...
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Mbinu hizi hutumiwa na wasafirishaji dawa za kulevya
10 years ago
Mwananchi05 Sep
TFDA ichunguze ukweli kuhusu dawa hizi
10 years ago
VijimamboPITIA HIZI PICHA NA UTAKUBALI KUWA MAZOEZI NI DAWA YA MWILI
Dulla kijana wa Kitanzania aliejengeka mwili vilivyo kutokana na mazoezi na kula chakula kwa mpangilio. Kama unavyoona Dulla akiwa Gym ndani jiji la wasiolala New York anakoishi.
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…
Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]
The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
‘JK, Dk. Shein watafute suluhu’
RAIS Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Mohamed Shein, wametakiwa kutumia kipindi hiki ambapo Bunge la Katiba limeahirishwa kukaa pamoja na kutafuta suluhu ya hali iliyojitokeza ili kuweza kufikia...
11 years ago
Habarileo10 Apr
‘Watafute maridhiano wakikwama theluthi mbili’
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru ametaka kuandaliwa mkakati wa kutafuta maelewano iwapo maazimio ya theluthi mbili hayatafikiwa.
11 years ago
Habarileo20 Apr
Bilal akemea chokochoko za Muungano
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amevionya vyama vya siasa nchini na kuwataka viongozi wake kuacha kuwapandikiza wananchi mbegu za chuki na uhasama kwa uroho wa madaraka.
11 years ago
Habarileo27 Mar
Pemba waonya chokochoko Muungano
MTANDAO wa Watanzania wenye asili ya Pemba waishio Bara (NEPPELTA), umehadharisha juu ya chokochoko na chuki zinazolenga kuvunja muungano na kusema ukivunjika, hautawaacha salama.