Pemba waonya chokochoko Muungano
MTANDAO wa Watanzania wenye asili ya Pemba waishio Bara (NEPPELTA), umehadharisha juu ya chokochoko na chuki zinazolenga kuvunja muungano na kusema ukivunjika, hautawaacha salama.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Apr
Bilal akemea chokochoko za Muungano
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amevionya vyama vya siasa nchini na kuwataka viongozi wake kuacha kuwapandikiza wananchi mbegu za chuki na uhasama kwa uroho wa madaraka.
11 years ago
Habarileo25 Apr
Pemba watakiwa kuenzi Muungano
WANANCHI wa Pemba wametakiwa kuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unaotimiza umri wa miaka 50 kesho; ukitajwa kuwa umesaidia kuimarisha miradi ya uchumi na maendeleo.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd_b8VT1dhU/Vh_UpZPNvQI/AAAAAAADA9o/ZIl07kYZWe8/s72-c/13.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA KISIWANI PEMBA LEO,AAHIDI KUULINDA MUUNGANO KWA NGUVU ZOTE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd_b8VT1dhU/Vh_UpZPNvQI/AAAAAAADA9o/ZIl07kYZWe8/s640/13.jpg)
Katika mkutano huo wa Kampeni,Dkt Magufuli ameahidi kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano,atadumisha na kuulinda Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ulioanzishwa na Waasisi wetu akiwemo Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere pamoja na Abeid...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Yanga watafute dawa ya chokochoko hizi
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, mwishoni mwa wiki alitoa onyo akikemea chokochoko zinazoendelea chini kwa chini ndani ya klabu hiyo kongwe. Kwa mujibu wa Manji, ni chokochoko dhidi ya Mwenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
UVCCM: Vijana epukeni siasa za chokochoko
VIJANA nchini wametakiwa kuwaepuka wanasiasa wanaopandikiza chokochoko zinazoweza kuligawa na kuliingiza taifa katika misukosuko hatari na mapigano ya kijamii. Rai hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa...
10 years ago
Habarileo13 Apr
JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini
RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PrrRyV2txE0/VSKwP867ZSI/AAAAAAABq-M/okGnoKCAXy8/s72-c/11050834_796847653703263_8242308058899657421_n.jpg)
Hoteli mpya ya New Pemba Seaview yafunguliwa Machomane, Pemba
![](http://1.bp.blogspot.com/-PrrRyV2txE0/VSKwP867ZSI/AAAAAAABq-M/okGnoKCAXy8/s1600/11050834_796847653703263_8242308058899657421_n.jpg)
Mwonekano wa Hoteli
5 years ago
CCM Blog13 Feb
WIZARA YA ULINZI YA RUSSIA YATOA JIBU KWA CHOKOCHOKO ZA UTURUKI NDANI YA ARDHI YA SYRIA
![Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya Syria](https://media.parstoday.com/image/4bv683e64131ec1ljwk_800C450.jpg)
10 years ago
Michuzi08 Oct
MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW.SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIIONI 8 MJINI WETE PEMBA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/W-gYqrsvqvZscbuOk_qdBQcx43yh9S1SYO7g3ssU75MbCncKlbpeNeFu5uTWGQtZIsJzbMxrel_GBPa-jjErVZmHNXDxGHtF-oubcYLGWXYQ6QQ2agsBUNRHoEXK2vC7Hmn86FXV4y-_XO3pKC0BpRFHwEZ5vxGFX5EQk3PdB7MPShJDbPqlwqT98roitVB4Fpa6LjJiy9ssZx9fd-uA_h2hTC6-SWoY0GTEDmQblzevfehx2zXFL7X_Aju22FBGVn_w0M-L45ZvGdaKE3Sr-6FbKgp_sEklPfEYeXTO-1dQY9yFdAhfrB_1_PyVjaSLk6yjOiTgPBIm_4tbxugZDw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-C7ZI7M8JMxA%2FVDRmlJ6OotI%2FAAAAAAADI_4%2FwJC50x6hb6k%2Fs1600%2Fsl%252B1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Bw..Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo...