Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pemba waonya chokochoko Muungano

MTANDAO wa Watanzania wenye asili ya Pemba waishio Bara (NEPPELTA), umehadharisha juu ya chokochoko na chuki zinazolenga kuvunja muungano na kusema ukivunjika, hautawaacha salama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Bilal akemea chokochoko za Muungano

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib BilalMAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amevionya vyama vya siasa nchini na kuwataka viongozi wake kuacha kuwapandikiza wananchi mbegu za chuki na uhasama kwa uroho wa madaraka.

 

11 years ago

Habarileo

Pemba watakiwa kuenzi Muungano

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Juma Kassim TindwaWANANCHI wa Pemba wametakiwa kuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unaotimiza umri wa miaka 50 kesho; ukitajwa kuwa umesaidia kuimarisha miradi ya uchumi na maendeleo.

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AHUTUBIA KISIWANI PEMBA LEO,AAHIDI KUULINDA MUUNGANO KWA NGUVU ZOTE.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Pemba jioni ya leo kwenye kutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Gombani ya Kale mjini Pemba.
Katika mkutano huo wa Kampeni,Dkt Magufuli ameahidi kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano,atadumisha na kuulinda Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ulioanzishwa na Waasisi wetu akiwemo Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere pamoja na Abeid...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga watafute dawa ya chokochoko hizi

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, mwishoni mwa wiki alitoa onyo akikemea chokochoko zinazoendelea chini kwa chini ndani ya klabu hiyo kongwe. Kwa mujibu wa Manji, ni chokochoko dhidi ya Mwenyekiti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM: Vijana epukeni siasa za chokochoko

VIJANA nchini wametakiwa kuwaepuka wanasiasa wanaopandikiza chokochoko zinazoweza kuligawa na kuliingiza taifa katika misukosuko hatari na mapigano ya kijamii. Rai hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa...

 

10 years ago

Habarileo

JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini

Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Parokia Mama Mwenye Huruma, Ngokolo mjini Shinyanga jana. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.

 

10 years ago

Vijimambo

Hoteli mpya ya New Pemba Seaview yafunguliwa Machomane, Pemba


Mwonekano wa Hoteli WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Mohamed Aboud Mohamed akizungumza na wananchi wa Machomanne Chake Chake Pemba, kabla ya kuifunguwa hoteli ya Muwekezaji Mzalendo wa Pemba.WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, akihimiza jambo kabla ya kuifungua hoteli ya Mzalendo kisiwani Pemba, Halfan Hababu (Kidishi)kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akiwa pamoja na viongozi mbali...

 

5 years ago

CCM Blog

WIZARA YA ULINZI YA RUSSIA YATOA JIBU KWA CHOKOCHOKO ZA UTURUKI NDANI YA ARDHI YA SYRIA

Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya SyriaWizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa, kutoheshimu Uturuki ahadi zake kutotekeleza majukumu yake ndiko kulikosababisha kuzuka mgogoro huko Idlib nchini Syria.Taarifa iliyotolewa mapema leo na Wizara ya Ulinzi ya Russia imeashiria utumaji silaha kwa magaidi walioko katika eneo la Idlib, unaofanywa kutokea Uturuki na kueleza kuwa, hali ya wasiwasi inayoshuhudiwa Idlib imejitokeza baada ya magaidi kushambulia maeneo yaliyoko jirani na mkoa huo wa kaskazini magharibi mwa Syria.Taarifa hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW.SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIIONI 8 MJINI WETE PEMBA

Timu kongwe visiwani Zanzibar Jamhuri ya Wete Pemba iliyoanzishwa mwaka 1954 imepokea vifaa mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 8 kutoka kwa Bw.Suleiman Saleh ambaye alimkabidhi mdaada huo. Mjini Wete Pemba jioni ya Jumanne Oktoba 7 2014 hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari ya Utaani iliyopo Wete Pemba.

Bw..Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani