Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini

Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Parokia Mama Mwenye Huruma, Ngokolo mjini Shinyanga jana. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

IGP SIRRO AONYA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI KUTOJIHUSISHA NA SIASA


Mkuu wa jeshi la polisi nchini Simon Sirro akisoma jiwe la msingi aliloweka ikiwa ni ujenzi wa makazi ya Askari wa jeshi hilo kwenye eneo la FFU kata ya Muriet jijini Arusha pembeni yake ni mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na mbele yao ni Balozi wa heshima wa Serikali ya Dubai Fouad Martis wakifuatilia tukio hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro kulia akiwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati na pembeni mwenye suti ya Bluu ni Balozi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM: Vijana epukeni siasa za chokochoko

VIJANA nchini wametakiwa kuwaepuka wanasiasa wanaopandikiza chokochoko zinazoweza kuligawa na kuliingiza taifa katika misukosuko hatari na mapigano ya kijamii. Rai hiyo imetolewa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa...

 

11 years ago

Habarileo

Mangula aonya siasa za chuki

Sehemu ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti aliyemaliza muda wake na kuomba tena kuwania nafasi hiyo, Freeman Mbowe. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Fadhili Akida).VYAMA vya siasa nchini, vimeaswa kutogeuza tofauti za kiitikadi na ilani za vyama kuwa chanzo cha chuki baina ya vyama na wafuasi wake, na badala yake vinapaswa kuwa na umoja wenye kuwa na maslahi ya wananchi.

 

11 years ago

Habarileo

Muhongo aonya siasa, uanaharakati kazini

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka vibarua kwenye Kampuni ya ukandarasi ya India ijulikanayo kwa jina la KEC International Limited inayojenga mradi wa msongo mkubwa wa umeme wa Kilovoti 400 kuacha kuchanganya siasa na uanaharakati kwenye kazi.

 

9 years ago

Habarileo

Msajili aonya uanzishwaji wa vyama vya siasa holela

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameonya tabia ya watu kuanzisha vyama vya siasa kama mchezo wa kuigiza na kuwarubuni Watanzania wakati ajenda zao hazina dhamira ya dhati kwa maendeleo ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Siasa bila dini ni uendawazimu

Historia ya siasa duniani haitengani kwa kiwango kikubwa na historia ya dini. Vitu hivi viwili kwa maisha ya mwanadamu vimekuwa sambamba na vyenye mafanikio kwa jamii yoyote ile duniani. Kwa upande mwingine dini na siasa vimeleta matatizo makubwa duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

JK- Mabalozi msichanganye dini na siasa

 Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania, wamekuwa wakitumia dini kuwaunga mkono wanasiasa jambo ambalo ni hatari.

 

11 years ago

Habarileo

'Viongozi wa dini acheni siasa'

KAMANDA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, Philemon Mollel amewataka viongozi wa madhehebu ya dini nchini kuacha kujiingiza kwenye masuala ya kisiasa badala yake wahubiri amani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mihadhara ya dini, siasa ruksa Mtwara

SERIKALI mkoani Mtwara, imeondoa kimya kimya amri yake ya kuzuia mikusanyiko ya kisiasa na kidini na kueleza kuwa mikutano hiyo itaendelea kulingana na taratibu zilizopo. Wakati Mtwara ukibainisha kuondolewa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani