Mihadhara ya dini, siasa ruksa Mtwara
SERIKALI mkoani Mtwara, imeondoa kimya kimya amri yake ya kuzuia mikusanyiko ya kisiasa na kidini na kueleza kuwa mikutano hiyo itaendelea kulingana na taratibu zilizopo. Wakati Mtwara ukibainisha kuondolewa kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Oct
Mikutano ya siasa Lindi, Mtwara ruksa
SERIKALI imeondoa zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililokuwa limewekwa tangu mwaka juzi kwa mikoa ya Lindi na Mtwara. Katika taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, anasema hatua hiyo imetokana na Serikali kuridhika kuwa hali ya amani na utulivu imerejea katika mikoa hiyo.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-xX3WJoquoao/VfgLHORkTBI/AAAAAAABnzw/7h9K2kSi2bU/s72-c/12032990_1631176853811708_6026384044953583507_n.jpg)
TFF: RUKSA WACHEZAJI KUTUMIKA KATIKA KAMPENI ZA SIASA, LAKINI WASIVAE JEZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-xX3WJoquoao/VfgLHORkTBI/AAAAAAABnzw/7h9K2kSi2bU/s640/12032990_1631176853811708_6026384044953583507_n.jpg)
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema halizuii mchezaji kufanya kampeni za siasa, isipokuwa wasitumie sare za kimichezo hususan zenye nembo za wadhamini.Hatua hiyo inafuatia TFF kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa Ligi.Taarifa ya TFF imesema kwamba Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion....
10 years ago
Mwananchi08 Oct
JK- Mabalozi msichanganye dini na siasa
10 years ago
Habarileo07 Oct
'Viongozi wa dini acheni siasa'
KAMANDA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, Philemon Mollel amewataka viongozi wa madhehebu ya dini nchini kuacha kujiingiza kwenye masuala ya kisiasa badala yake wahubiri amani.
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Siasa bila dini ni uendawazimu
11 years ago
MichuziKONGAMANO LA VIONGOZI WA DINI LAMALIZIKA MKOANI MTWARA
10 years ago
Habarileo13 Apr
JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini
RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.
9 years ago
Mwananchi12 Oct
‘Viongozi wa dini wanaoshabikia siasa watubu’