JK- Mabalozi msichanganye dini na siasa
 Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania, wamekuwa wakitumia dini kuwaunga mkono wanasiasa jambo ambalo ni hatari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Msiingize dini katika siasa, Rais awaambia mabalozi
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/DKX9V7TIUwprMoZlSv4Exld6U3hldRqkSE4u1JXBknyx_nTRTa5H2Z5wPEV7GgWBehCrwoC5XVAOJBVU6bQIo5E4GeorrIUROwYChsSPZkaOTiACalKM9UfDH75yoayznXRKR_61yudQnRZItT8UcQ5Fsme8-_vufTbqdXK9xrZbA-AMqS4rf7xaIL0vAlzgy1q8hRN8TvD_v3EMs2QF8nkUPzr0-k5XkTRX1lw0epnAPGk2wz5T2N7jX_yJX0xWpK6n8JrcD9CYN2z7naMlClgiTpeNqfEZBUMyty4R-vPJLIi3AXD5DPCpzhKRDvrpDgXVRb4L-RMEtg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-l_Fa54RgdJg%2FVDMYQh4mInI%2FAAAAAAAGoZY%2Fsf_NNE65vqY%2Fs1600%2Fd1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na viongozi wa dini alipowasili katika hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam kufungua Mkutano wa viongozi wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa lengo la kujenga na kuleta amani na maelewano nchini. Mkutano huo wa siku nne ulioanza jana unajulikana kama Tanzania Christian & Muslim Religious Leaders’ Initiative for Peace and Co-existence.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/valY4M64TGuJt3T_yFgw7exusH0uzYABio4t8m38A6vHVpOW7sazY7i0c_hULNDVd21sz-AXd8vEBR-VGC1x6L115J5Z7_Y4SMEB5N3XVXbjQsbbgGtSBDJrKuzIBoNFR51vGxyrkkEnMswF-QEQFJUxxD5q3HsVi9piA6nXr3IGDZL6nTOVH3219_-iGNaoErV7n9nnk1rTwtsNb63ZzVQAC0t7SoMuyD01pn3oLJK_ABGYxxftbtcrppuFZkIdIfsC9qkS3MFGB7Qd32qet26gRlNAEBupR7IfRstsNmkmxlixgZQekKO6UIm-SyPBKtOoI3x_VyReTg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-HLVurZrFGZc%2FVDMW_ik4HYI%2FAAAAAAAGoZI%2FK0oh5-aUWUk%2Fs1600%2Fd2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zBtMBg7AKaU/ViJvF0xNzYI/AAAAAAAAbXs/qRl0YB-a_Fs/s72-c/DSC_0031.jpg)
ACACIA YADHAMINI PAMBANO LA SOKA LA VIONGOZI WA DINI NA MABALOZI KUHAMASISHA AMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zBtMBg7AKaU/ViJvF0xNzYI/AAAAAAAAbXs/qRl0YB-a_Fs/s640/DSC_0031.jpg)
9 years ago
MichuziTIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI YAJIFUA NA MABALOZI, YAKABIDHIWA MIPIRA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZZHLdIxZVU/Xl-ZaFtXU_I/AAAAAAALg7U/RLOA6qgMG1M2oSzibtkFEwm9IEIQSq0FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B1.23.16%2BPM.jpeg)
Viongozi wa Dini waahidi kuwa mabalozi wa TCRA, kutoa elimu kwa waumini
KAMATI ya Amani mkoa wa Morogoro imesema kuwa elimu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano imefika kwa wakati mwafaka kutokana na teknolojia hiyo kukua kila siku.
Wameyasema hayo wakati wa Semina ya Kamati ya Amani ya Mkoa Morogoro inayotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kutoa elimu juu ya utumiaji wa huduma za mawasiliano kwa kujinga na Uhalifu unapotumia huduma hizo.
TCRA ipo katika Kampeni ya SIRUBUNIKI kuwa Mjanja ambayo inakwenda katika mikoa yote ya Tanzania Bara na...
10 years ago
Habarileo07 Oct
'Viongozi wa dini acheni siasa'
KAMANDA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, Philemon Mollel amewataka viongozi wa madhehebu ya dini nchini kuacha kujiingiza kwenye masuala ya kisiasa badala yake wahubiri amani.
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Siasa bila dini ni uendawazimu
10 years ago
Habarileo13 Apr
JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini
RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.
9 years ago
Mwananchi12 Oct
‘Viongozi wa dini wanaoshabikia siasa watubu’
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Mihadhara ya dini, siasa ruksa Mtwara
SERIKALI mkoani Mtwara, imeondoa kimya kimya amri yake ya kuzuia mikusanyiko ya kisiasa na kidini na kueleza kuwa mikutano hiyo itaendelea kulingana na taratibu zilizopo. Wakati Mtwara ukibainisha kuondolewa kwa...