Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siasa bila dini ni uendawazimu

Historia ya siasa duniani haitengani kwa kiwango kikubwa na historia ya dini. Vitu hivi viwili kwa maisha ya mwanadamu vimekuwa sambamba na vyenye mafanikio kwa jamii yoyote ile duniani. Kwa upande mwingine dini na siasa vimeleta matatizo makubwa duniani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

'Viongozi wa dini acheni siasa'

KAMANDA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, Philemon Mollel amewataka viongozi wa madhehebu ya dini nchini kuacha kujiingiza kwenye masuala ya kisiasa badala yake wahubiri amani.

 

10 years ago

Mwananchi

JK- Mabalozi msichanganye dini na siasa

 Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania, wamekuwa wakitumia dini kuwaunga mkono wanasiasa jambo ambalo ni hatari.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Viongozi wa dini wanaoshabikia siasa watubu’

Katibu Mkuu wa makanisa ya Kipentekoste nchini, Askofu David Mwasota amesema viongozi wa dini wanaojihusisha na siasa, wanapaswa kutubu kwa Mungu kwa kuwa nyadhifa zao haziwaruhusu kufanya hivyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Gwajima: Huwezi kutenganisha siasa na dini

Pg 2NA ELIZABETH MJATTA, DAR ES SALAAM
MCHUNGAJI kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amesema viongozi wa dini hawawezi kujitenga na siasa kama inavyoelezwa na baadhi ya watu katika jamii.
Gwajima alitoa kauli hiyo wakati akitunukiwa tuzo ya heshima ya udaktari kutoka katika Chuo Kikuu cha Biblia na Theolojia cha Omega Global (OGU) cha Afrika Kusini, jijini Dar es Salaam juzi.
Alisema kumekuwa na dhana kwamba viongozi wa dini kujihusisha na siasa ni kwenda kinyume na kazi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mihadhara ya dini, siasa ruksa Mtwara

SERIKALI mkoani Mtwara, imeondoa kimya kimya amri yake ya kuzuia mikusanyiko ya kisiasa na kidini na kueleza kuwa mikutano hiyo itaendelea kulingana na taratibu zilizopo. Wakati Mtwara ukibainisha kuondolewa kwa...

 

10 years ago

Habarileo

JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini

Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Parokia Mama Mwenye Huruma, Ngokolo mjini Shinyanga jana. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.

 

11 years ago

GPL

KATIBA IZUIE NDOA ZA UTOTONI BILA KUJALI DINI

SUALA la ndoa za watoto wadogo – chini ya umri wa miaka 18 – limekuwa likiendelea kwa miaka mingi bila kupatiwa ufumbuzi na tumeamua kulizungumzia kutokana na ukweli kuwa Bunge Maalum la Katiba hivi sasa linatengeneza sheria mama mjini Dodoma.   Tatizo hili la ndoa za watoto wadogo, kwa mujibu wa mkanganyiko wa sheria zilizopo, limekuwa likipigiwa kelele bila ufumbuzi kwa zaidi ya miaka 40 sasa tangu kupitishwa...

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini watakiwa kutoshabikia siasa chafu

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck SadikiVIONGOZI wa dini nchini wametakiwa kutojihusisha na kampeni chafu za siasa hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ndani ya nyumba za ibada.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TASAF haina dini wala siasa-Mwamanga


NA SOPHIA WAKATI,TANGA
MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF),Ladislaus Mwamanga, ameitaka jamii kuelewa kuwa chombo hicho ni cha serikali na hakina mwingiliano wa dini, wala itikadi yoyote ya kisiasa.
Alisema lengo la TASAF ni kuonyesha uwajibikaji na kuwezesha wananchi wote kuwa na maisha bora.
Mwamanga aliyasema hayo jana, mkoani hapa, alipokuwa akizindua kikao kilichojumuisha waandishi, waratibu, wahasibu na maofisa wanaofuatilia shughuli za mfuko huo.
Alisema serikali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani